Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,608
- 109,239
Utajaza wewe, huwe mzoga au mwili.Unamzungumzia Samwel John Sitta au Mwili wa Samwel John Sitta?
Ila kwenye cargo airway bill ni mzigo tu ule umetumwa kutoka Ujerumani.
Utajaza wewe, huwe mzoga au mwili.Unamzungumzia Samwel John Sitta au Mwili wa Samwel John Sitta?
Utajaza wewe, huwe mzoga au mwili.
Ila kwenye cargo airway bill ni mzigo tu ule umetumwa kutoka Ujerumani.
Acha kuandika upuuzi mwanaye naye ni sehemu tu mashetani, naye ajaribu kuvaa viatu vya Watanzania waliodhurumiwa katiba, na yeye juzi kupachikwa umeya wa Kinondoni kimabavu.Nakuonea huruma kwa kuandika vitu as if sio binadamu hebu jaribu kuvaa viatu vya mwanae
Gharama ya kukodi huo mdege sijui ni kodi yangu!!!!?
Ulipaswa uzaliwe nchi ya wala watu,lazima utakuwa nyumbu ww bendera fata upepo.Acha kuandika upuuzi mwanaye naye ni sehemu tu mashetani, naye ajaribu kuvaa viatu vya Watanzania waliodhurumiwa katiba, na yeye juzi kupachikwa umeya wa Kinondoni kimabavu.
Kama Watanzania tukiweka unafki pembeni vifo vya watu wote wanafki inapaswa kuwa siku ya sherehe na watu kuchoma nyama na kumwambia Asante Mungu.
Tena Box linaandikwa "Human remains of. ......."mkuu sina maana mbaya ila unakuwa kama parcel tu ya dhl wanaweka kwenye buti...
Kwa kiswahili rahisi kabisa haya ni masalia ya binadamu.Tena Box linaandikwa "Human remains of. ......."
Nyumbu baba'ko mzazi.Ulipaswa uzaliwe nchi ya wala watu,lazima utakuwa nyumbu ww bendera fata upepo.
Mjaa laana weye!Nyumbu baba'ko mzazi.
Kwa kusimamia ukweli upi? Hebu peleka unafki mbele huko. Huyu mzee aliwasaliti Watanzania kwa uchu wa kuutaka Urais matokeo yake ccm wakamtosa hadi kwenye uspika.R.I.P Mzee wetu Samuel Sita tutakukumvuka kwa kusimamia ukweli...
!! Aende mwanakwenda................alisimamia mchakato wa katiba mpya. Apumzike anakostahili
Dah! Apumzike kwa amani Mzee wetu.
Kwa kweli, CCM na serikali watamfanyia haki kama watamzika (watampumzisha makazi ya milele) pamoja na ile rasimu ya katiba waliyoibuka nayo baada ya kuuintarahamwe mchakato wa Katiba mpya.Ok , akapumzike kwa amani RIP sitta
Hilo la wafu kupiga kura muasisi wake ni Sita rejea bunge la katiba sijui alikuwa mama yake Zito yule ?Mh jamani wafu wanapiga kura!
Link JUKATA: Sitta Kupewa Hati Chafu Kwa Kuvuruga Mchakato wa Katiba MpyaAcha kuandika upuuzi mwanaye naye ni sehemu tu mashetani, naye ajaribu kuvaa viatu vya Watanzania waliodhurumiwa katiba, na yeye juzi kupachikwa umeya wa Kinondoni kimabavu.
Kama Watanzania tukiweka unafiki pembeni, vifo vya watu wote wanafki inapaswa kuwa siku ya sherehe na watu kuchoma nyama na kumwambia Asante Mungu.
,.....Amen