Kama wewe ni Mwanaume rijali halafu mtu anakuzushia wewe ni gay anatokea rafiki yako “kukutetea” kwa kusema tusiinglie maisha binafsi.. Kweli huyo kakutetea au ndio kachochea kuni?!Safi sana Mh. kwa kuwapa jibu zuri
Hao walafi wa upinzani wao hawajali wananchi bali matumbo yao tu.
Kwa lipi????Mwigulu yuko mbali sana kulinganisha na Zitto Kabwe,
Aiseeebinafsi sijaguswa kabisa na msiba huu.na wala siombolezi choote
DuhMwigulu na polepole wanatofautishwa na rangi mwili na madevu tu vilivyobaki wako sawa
Mkuu hawa kuna muda huwa wanakatika vichwa, japo Mwigulu ni kama anatumia tafsida hivi, kiupande mwingine naye anamponda mtukufu, mfano mtu akikutukana tusi kubwa afu mimi nikaenda kulitaja hilo tusi hadharani kama ulivyolitamka, by anyway hata kama nilikua na nia ya kukutetea automatically nakua nimekutaka zaidi.Mngekuwa mna-observe humanity, Lissu mngeacha kumtibu?
Yeye angekuwa ana-observe humanity, angeacha Polisi wazuie watu kumuombea Lissu?
Sometimes ni bora kukaa kimya tu.
Yule alikuwa ni kiongozi wa chama Chao!! Hawa ni raia wa vyama mbalimbali pamoja na wasio na vyama! Sasa huyu asiye na chama halafu unaenda kwenye msiba wake na majezi ya chama si ujinga?.....chadema walimfanyia 'road show' Ndesamburo kama kilimanjaro lager huku makamanda wamekita magwanda !
Formula ni ile ile, msiba haubagui.....vyama vyote na raia wa kawaida walishiriki msiba wa Ndesapesa. Kila mtu kwenye maisha yake analo lililomgusa kutoka kwa Ndesapesa, akiwa kama Mbunge na mfanya biashara. Ila chadema waligeuza ni 'maonyesho' yao !Yule alikuwa ni kiongozi wa chama Chao!! Hawa ni raia wa vyama mbalimbali pamoja na wasio na vyama! Sasa huyu asiye na chama halafu unaenda kwenye msiba wake na majezi ya chama si ujinga?
Kuna tofauti mkuu japo unajifanya huioni,akifa kiongozi wa chama anazikwa hadi na bendera ya chama,jezi kitu gani? Kwani hukusikia salamu za rambirambi za msiba wa Ndesamburo zilikuwa zikielekezwa kwa mwenyekiti wa CHAMA chake kwa niaba ya chama? Ila ukisiki salamu za rambirambi zinatumia kwa RAIS wa nchi ujue huo msiba hauna uhusiano wa moja kwamoja na chama,kama msiba huu! Salamu zote kutoka nje ya mipaka zinatumwa kwa rais na si kwa mwenyekiti wa ccm.Formula ni ile ile, msiba haubagui.....vyama vyote na raia wa kawaida walishiriki msiba wa Ndesapesa. Kila mtu kwenye maisha yake analo lililomgusa kutoka kwa Ndesapesa, akiwa kama Mbunge na mfanya biashara. Ila chadema waligeuza ni 'maonyesho' yao !
.....ccm akivaa jezi ya ccm, popote pale inakwaza jambo lolote lisifanyike !? Chadema walikuwa na magwanda yao kwenye msiba wa Capt. Komba. Mbowe anashinda kutwa nzima na magwanda. Dont occupy your head with minor issues !Kuna tofauti mkuu japo unajifanya huioni,akifa kiongozi wa chama anazikwa hadi na bendera ya chama,jezi kitu gani? Kwani hukusikia salamu za rambirambi za msiba wa Ndesamburo zilikuwa zikielekezwa kwa mwenyekiti wa CHAMA chake kwa niaba ya chama? Ila ukisiki salamu za rambirambi zinatumia kwa RAIS wa nchi ujue huo msiba hauna uhusiano wa moja kwamoja na chama,kama msiba huu! Salamu zote kutoka nje ya mipaka zinatumwa kwa rais na si kwa mwenyekiti wa ccm.
Huyu naye anapaswa kujibiwa hivi;
mkuu jiandae.. tunakusubiri ukifika mikononi utatueleza kapewa lini na sumu ganiZitto tokea apewe sumu na lowasa haikuisha mwilini
hebu tukumbusheni mliokuwa karibu nae enzi za utoto wake JIWE akili zake zilikuwajeHuyu naye anapaswa kujibiwa hivi;
Ina maana hii ibara kwenye katiba iliwekwa kama nafasi ya watu kumtukana raisi? Watu bwana mnapenda sana kujipendekeza, Tafuteni njia nyingine za kujitutumua mjulikane au kuzawadia sio kupitia kauli za kina Zitto.
Kama hii ibara ni sehemu ya katiba, sioni sababu ya kumshambulia Zitto kupendekeza ifanyiwe kazi. Ndio maana ibara inatoa nafasi kwa madaktari kusema kama Raisi yuko fit au hapana. Sio kwamba itatumika pale tu kuna uthibitisho kamili kwamba raisi ana kichaa. Matokeo ya uchunguzi wa madaktari ndio yatadhihirisha. Sasa nyie mnaojipendekeza, tuambieni mnajuaje kama raisi hana mental problems? Maana kuna two sides of the coin - either raisi ana mental problems or not. The only way ni madaktari kuthibitisha kama anavyoshauri Zitto. Sasa tatizo liko wapi? Mmemuuliza Zitto kama ana sababu za msingi kupendekeza hili? Kati ya nyie na Zitto nani anamjua Raisi kwa undani zaidi?
Kwanza raisi mwenyewe amesema ana kichaa, anateua vichaa kama yeye. Sasa huoni kauli kama hizo tayari ni tatizo? Tupo wengi ambao tunadhani kauli au matendo fulani ya raisi yanaweka wasiwasi sana juu ya mental status yake. Zitto amefanya kusema peupe kitu ambacho Watanzania wengine wengi wanatilia shaka. Zito anasema achunguzwe na nyie mnakuja juu. Kwa nini hamkuja juu raisi aliposema hadharani ana kichaa?
Kama mnataka basi tembezeni petition tupate Watanzania zaidfi ya 100,000 ambao wanadhani ni vema Raisi afanyiwe uchunguzi wa mental state. Tukikosa sahihi 100,000 basi tuache hili suala. Kuna vitu vya ajabu sana tumesikia juu ya raisi, pamoja na maisha yake ya kifamilia, kwa hiyo hatupaswi kushangaa Zitto kupendekeza hili.
Labda tuseme tu zinafanya lisiwe wazo baya kwa madaktari kufanya huo uchunguzi Zitto anaopendekeza.hebu tukumbusheni mliokuwa karibu nae enzi za utoto wake akili zake zilikuwaje
Synthesizerhebu tukumbusheni mliokuwa karibu nae enzi za utoto wake JIWE akili zake zilikuwaje