Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,346
- 9,846
Na wewe unajua kizungu?Unaweza ukaandika kiswahili? maana naona hiyo english yako haieleweki: Natumia nguvu nyingi kuondoa makosa yako ya punctuation.
Na wewe unajua kizungu?Unaweza ukaandika kiswahili? maana naona hiyo english yako haieleweki: Natumia nguvu nyingi kuondoa makosa yako ya punctuation.
Huna ulichojibu, endelea na ujinga wako. Wewe na Zitto wako "" MTAPATA TAABU SANAJamaa umekula lakini? Mbona unaongea mikorogo tu hapa? Mara zitto, mara mimi, mara Musiba, mara uchawi. Zitto katumia vifungu vya katiba kuelezea aliyoyaelezea, wewe unaleta blah blah...zitto kaanzisha vita yake, na wewe anzisha vita naye kwa vifungu vinavyo ku support. Usipoteze muda kujaribu kuielewa au kuielezea akili yangu, maana hautaiweza mimi ni mjinga fulani hivi ninayejifunza kila siku.
Malema ni upuuzi kama mpuuzi yeyote, Mlema ni mjinga Kama Savimbi, ni vocal na point less man, ndiyo maana alijaribu kupambana na ANC lakini alichofanikiwa, kabaki na ki- SACCOS chake na ANC ilichifanya ni kumbadirisha Zuma na kumleta Mwa ANC Mwingine na siyo kutoka kwenye Uchuro wa Malena, hata wewe na huyo Chokora wako Zitto na Mbowe wakajidai eti huko Buyungu wanaungana, waulize kile kipigo cha Mbwa koko walichokipata, kamwe hawatasahau. Mtapata Taabu sana.mkuu fanya kufatilia muundo wa chama cha malema (EFF) alafu rudi usome ulicho andika uone kama uko sahihi ama una haki ya kupuuzwa
hahaahaha mkuu mnachekesha sana mmetaka chama chenye muundo wa tofauti nimekupaMalema ni upuuzi kama mpuuzi yeyote, Mlema ni mjinga Kama Savimbi, ni vocal na point less man, ndiyo maana alijaribu kupambana na ANC lakini alichofanikiwa, kabaki na ki- SACCOS chake na ANC ilichifanya ni kumbadirisha Zuma na kumleta Mwa ANC Mwingine na siyo kutoka kwenye Uchuro wa Malena, hata wewe na huyo Chokora wako Zitto na Mbowe wakajidai eti huko Buyungu wanaungana, waulizte kile kipigo cha Mbwa koko walichokipata, kamwe hawatasahau. Mtapata Taabu sana.
Uwe na akili bwege wewe. Unapoamua kujadili basi anza kwa kuweka misingo ya kuujengea hoja yako. Unabahati hata nimepoteza muda wangu kujibizana na wewe maana nilidhani ni mtu makini labda tunatofautiana mitazamo tu kumbe sivyo.Huna ulichojibu, endelea na ujinga wako. Wewe na Zitto wako "" MTAPATA TAABU SANA
Ni lini na nani ametangaza kuwa raisi anaumwa au ni mgonjwa?
Kizungu ni lugha gani? Rudi shule unapoteza muda na cheti chako.Na wewe unajua kizungu?
Mbali kwenye nini? Hivi kati ya hawa wawili nani ana jina kubwa na la heshima kwa jamii ya kitaifa na kimataifa?huyo nchemba kaanza kujulikana baada ya ulipuzi wa mabomu pale arusha (soweto)wakati Zitto anajulikana toka kitambo kwa kupigana rasilimali za taifa,hence huyo nchemba hana heshima yoyote kwa jamii zaidi ya kumbukumbu ya kutisha kama si ya kuogofya ya umwagikaji wa damu za watu wasio na hatia!