Mwigulu Nchemba amcharukia Zitto Kabwe

Mwigulu Nchemba amcharukia Zitto Kabwe

Alimbikia kesi ya ugaidi lwakatare akijua dunia ni ya macccm hawa pia wanetuulia ndugu zetu kina Benn ipo siku watalipa hatakakama hawajataka watarazimishwa
 
Mods, naomba msiunganishe hii mada.

Brother Mwigulu, si sahihi kabisa kuhusisha tweet ya Zitto kuhusu ibara hiyo ya katiba na swala zima la ajali ya kivuko cha Mv.Nyerere.

Watu wengi hawaelewi kuwa ile tweet Zitto aliipost tarehe 20/09//2018 saa saba na dakika thelathini na mbili mchana (1:32 PM) wakati ajali ilitokea saa nane kamili mchana kwa mujibu wa RPC (someni uzi wa ajali ulioko hata hapa JF kuona kauli hiyo ya RPC) na hapo bado huja-consider muda wa taarifa kusaambaa na mpaka watu kuanza kujadili akiwemo huyo Zitto.

Binafsi ile tweet ya Zitto niliona siku moja kabla haijaletwa hata hapa JF na kwa mazingira ya siku ile, inaonyesha Zitto aliguswa na document fulani ambayo wengi iliwashitua na hata hapa JF iliibua mjadala mzito kuhusu maswala ya family planning.

Brother Mwigulu, kama ungeongelea ile tweet ya Zitto kuhoji kuhusu maswala ya kununua Dreamliner, maSGR huku tukishindwa kuoko watu, hapo ungekuwa unaongelea tweet sahihi iliyohusiana na maswala ya ajali lakini sio ile tweet yake kuhusu ibara ya 37 (2).

Tuweke kumbukumbu sawa na tuache kutafuta huruma kutoka kwenye jamii.
Huyo ni Dr. ambaye ana PhD ameshindwa kuielewa twitter kutokana na muda na wakati wake, hivi hizi PhD kweli ni kutamka tu na si kukaa na kuelewa muda na wakati wa tweet kabla ya ku comment, kweli Docta umetuvuruga. changanya changanya hiyoooooo
 
Itakuwa kweli anachosema Zitto............

Ila Mwigulu mjanja, ameamua kukuza mgogoro ili aonekane anamtetea mkuu, kumbe lengo lake ni huu mjadala uendelee kukua ili mkuu aendelee kuzalilika....
You are right,ngata na kupuliza
 
Tatizo lingine mkulu alisema yeye ni kichaa nanukuu aliseme alimpa mtu uwaziri ambaye ni kichaa kama yeye. kwa neno hili tu basi ibara hiyo ya katiba lazima ifanye kazi
 
Tatizo la Mwigulu ni nini wakati katiba ndiyo imetoa mwanya huo wa kujadili personality au afya ya kiongozi?, katiba imeyatamka hayo hadharani kwa kila atakayeisoma na tafsiri yake ni kwamba hali ya afya ya kiongozi nayo inapaswa kuwa hadharani .
Ukisha kuwa kiongozi tu tambua kwamba you are open to the public, kama hautaki kujianika au kuanikwa basi jsiusogelee uongozi.
Huyu Mwigulu Nchemba akili zake hazipo sawa mahali tangu zamani ni wa kumpuuza tu.
Sasa twende moja kwa moja kwa utekelezaji wa Kipenge hicho cha Katiba, na wewe binafsi unayepigia debe eti katiba imetoa mwanya wa kujadili Kiongozi wa Kitaifa, hebu tueleze wewe mwenyewe kama raia huru,
A).Sema Rais ana maradhi gani ya Mwili?
B). Sema Rais ana maradhi gani ya akili?
Ukishindwa kujibu humu, niwaombe TCRA wachukue hatua ya KUKUFIKISHA MAHAKAMANI UKATOE MAELEZO NINI HASA UNA MAANISHA, NA SABABU IPI IMEKUPELEKEA KUUNGA MKONO WAZO OVU LA ZITTO NA KUMSHAMBULIA MWIGULU NCHEMA.
 
Sasa twende moja kwa moja kwa utekelezaji wa Kipenge hicho cha Katiba, na wewe binafsi unayepigia debe eti katiba imetoa mwanya wa kujadili Kiongozi wa Kitaifa, hebu tueleze wewe mwenyewe kama raia huru,
A).Sema Rais ana maradhi gani ya Mwili?
B). Sema Rais ana maradhi gani ya akili?
Ukishindwa kujibu humu, niwaombe TCRA wachukue hatua ya KUKUFIKISHA MAHAKAMANI UKATOE MAELEZO NINI HASA UNA MAANISHA, NA SABABU IPI IMEKUPELEKEA KUUNGA MKONO WAZO OVU LA ZITTO NA KUMSHAMBULIA MWIGULU NCHEMA.
Hivi wewe unajitambua kweli? Au una comment ili mradi na wewe uonekane? Siku nyingine unaponi quote hakikisha umeelewa siyo unadandia dandia tu. Au unadhani kila mmoja humu ni shabiki wa kufuata vyama na upepo?

Haya rudi kwenye malumbano ya Zitto na Mwigulu ambayo ndiyo msingi wa thread hii halafu chagua unapotaka kuunga mkono au kupinga...ebwoo.
Halafu unapoliita wazo la zitto ni ovu wakati mwenzako amenukuu kifungu cha katiba, je wewe unayeliita ovu unatumia kifungu kipi cha katiba?
 
Mods, naomba msiunganishe hii mada.

Brother Mwigulu, si sahihi kabisa kuhusisha tweet ya Zitto kuhusu ibara hiyo ya katiba na swala zima la ajali ya kivuko cha Mv.Nyerere.

Watu wengi hawaelewi kuwa ile tweet Zitto aliipost tarehe 20/09//2018 saa saba na dakika thelathini na mbili mchana (1:32 PM) wakati ajali ilitokea saa nane kamili mchana kwa mujibu wa RPC (someni uzi wa ajali ulioko hata hapa JF kuona kauli hiyo ya RPC) na hapo bado huja-consider muda wa taarifa kusaambaa na mpaka watu kuanza kujadili akiwemo huyo Zitto.

Binafsi ile tweet ya Zitto niliona siku moja kabla haijaletwa hata hapa JF na kwa mazingira ya siku ile, inaonyesha Zitto aliguswa na document fulani ambayo wengi iliwashitua na hata hapa JF iliibua mjadala mzito kuhusu maswala ya family planning.

Brother Mwigulu, kama ungeongelea ile tweet ya Zitto kuhoji kuhusu maswala ya kununua Dreamliner, maSGR huku tukishindwa kuoko watu, hapo ungekuwa unaongelea tweet sahihi iliyohusiana na maswala ya ajali lakini sio ile tweet yake kuhusu ibara ya 37 (2).

Tuweke kumbukumbu sawa na tuache kutafuta huruma kutoka kwenye jamii.

Umefanya la maana sana.
 
Niseme kitu kuna watu humu wametekwa kiakili,na kisaikologia hawajijui alafu wamejazwa chuki bila kijitambua na zaidi ni mateka wa kiakili tena bila kujigundua,na wapo humu.Na wao wapo hivi ikitokea Mtu fulani anaweza kuwa sio Mpinzania au Mpinzani ila hasa Mpinzani Kwa sababu akili yake inamuamini huyo mtu ata akisema ujinga au maneno yasiyo na busara anasupport huo ujinga,sababu anamuamini na ametekwa kisaikologia,kiakili kifupi ni mateka

Ushauri.ukisikia jambo lolote kumbuka una akili zako binafsi lijudge wewe kwanza alafu toa majibu hata kama unamkubali huyo mtu kuna kipindi anasema ili kuwavuruga au kupinga au kudharau au malengo mabaya na yeye ni Binadamu kwa sababu ni Mpinzani kwamba unachukia serikali au upinzani unakubali tu kama debe lisilo na kitu,tusipelekeshwe kifikra na hasa hawa wanasiasa huwa wanatafuta umaarufu wa kijinga tuache vitu kama hivyo vya kijinga vya kutawaliwa kifikra kila akiongea huyo Mtu unashabikia ujinga wake usio na hekima kaa fikiria na judge je kaongea ujinga au hekima? So chukua maamuzi mazuri kujenga taifa letu sote
 
"KITU NISICHOTAKA KUTENDEWA HUWA SITAKI NA MWINGINE ATENDEWE, Huyu ni Kiongozi wetu, Huyu ni Baba yetu kwa umri, Hii ni nembo yetu as a Nation, can you just say like that? can you just wish like that? Oooh No!
Mnashindwa kujiuliza yote haya yanavyotokea sasa, kwa nini yatokee?
"Nisichotaka kutendewa huwa sitaki na mwingine atendewe" - Hili unajisemea mwenyewe humsemei mwingine yeyote. Si Zitto au huko kwenu mnakoogopa hata kuwapa pole msiokubaliana nao ndani ya siasa zenu za chuki.
 
Hii ndio shida ya wabongo, kwahiyo ukweli usisemwe kisa msiba wa taifa , Watanzania tubadilikeni tusilewe na uteuzi ZZK amesema ukweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu . I'm with you ZZK hakuna muda Maalum wa kusema .
 
Zitto Kabwe, na wenzako mnaoendelea kusambaza thread hii, With due respect to you, let us debate on Agendas, National issues and NOT PERSONALITIES. My collegemate, my agemate, my felloweconomist, mwanadamu mwenzangu: Where is the limit?

Nimesoma thread yako, na nimesoma kipengele cha Katiba ulichokitaja. AMBAYO IKO KWENYE THREAD; "Ni muda mwafaka SASA Baraza la Mawaziri kutumia Ibara ya 37(2) ya Katiba. Kwenye Katiba, maudhui ya Ibara hiyo ni"
37(2), Endapo Baraza la Mawaziri litaona kuwa Rais hawezi kumudu kazi zake kwa sababu ya Maradhi ya MWILI au AKILI, laweza kuwasilisha kwa Jaji Mkuu azimio la kumwomba Jaji Mkuu athibitishe kwamba kwa sababu ya Maradhi ya Mwili au ya Akili hawezi kumudu kazi zake. " .......
.......
Mwanzo nilidhani ID feki, pili nikadhani wamekulisha maneno, but sijaona ukikanusha. Well ukiwa na jazba unaweza kuandika hivyo na yeyote mwenye jazba anaweza kufurahia hicho. But let us get back to the sense of humanity;

1) Taifa linapita kwenye janga, limepoteza watu, watu wako kwenye majonzi, Kiongozi ambaye ndio anadhamana ya watu wote yuko kwenye kipindi cha kupoteza watu kwenye janga hilo, msiba huo ni wake, wewe badala ya kumpa pole, any word of hope, unaweka neno ambalo impliedly unataka kuaminisha watu kuwa Rais anaumwa, maradhi ya mwili au ya akili. The timing and allegation haina chembe ya ubinadamu.

2) Hata kama, kuna mapungufu kwenye kuruhusu watu kupanda au vyovyote, ustaarabu wetu unatuonesha TUWAHIFADHI KWANZA NDUGU ZETU, NDIO TUANZE KUGOMBANA, kama ni kusingiziana au mirathi, nk, SOTE TUTAKUFA SIKU MOJA, hata sasa, Hii sio sherehe, badala ya kuwafariji ndugu, jamaa na wote waliokutwa na janga hili, we feel tumepata mwanya wa kupenyeza maneno. Hatuwatendei haki wale walio kwenye deep pain ya janga hili.


3) Hata kama kwenye siasa kuna kusemana, hata kama kwenye siasa kuna kushambuliana, hata kama kwenye siasa kuna kuchukiana, Maneno yanayolenga personalities za aina hii, tena za maswala ya kiafya, kwa kiongozi, maneno yanayoweza kusababisha taharuki kwenye familia, kwa wananchi na maneno yanayojeruhi personalities, ni adui mkubwa wa uhuru wa kuongea na ustawi wa demokrasia unaopiganiwa.

4) Mimi najua status ya afya yangu, mke wangu na watoto wangu, Je nina haki ya kujua status ya afya yako Zitto? Ni haki ya kuifanya public na nije kuwashauri wapiga kura wako? Brothers and sisters lets observe humanity.

5) Nini tafsiri sahihi ya kipengele hicho cha Katiba,? Hujakielewa, au unatumia Katiba kutukana, kudhalilisha, kuaminisha kitu kisicho na ukweli.

"KITU NISICHOTAKA KUTENDEWA HUWA SITAKI NA MWINGINE ATENDEWE, Huyu ni Kiongozi wetu, Huyu ni Baba yetu kwa umri, Hii ni nembo yetu as a Nation, can you just say like that? can you just wish like that? Oooh No!

Dkt Mwigulu Nchemba, (MB) Iramba.
Brother mwigulu upo sawa maana lazima utetee jina lako kupitishwa mwaka 2020 kingine ile minoma yko ya Bank kuu pia lazima ujitaidi kuiteteea ila ukonga utakuhusu ni swala la muda tu tatizo mnasahau pia hivyo vikao vyenu nyuma ya kapeti mzee wngu jiwe taarifa zote anazo subiri uvuta kheri...
 
Ktk hii post jaribuni kufuatilia likes za PASCAL MAYALLA mtajua ni mtu wa aina gani.
 
Sasa twende moja kwa moja kwa utekelezaji wa Kipenge hicho cha Katiba, na wewe binafsi unayepigia debe eti katiba imetoa mwanya wa kujadili Kiongozi wa Kitaifa, hebu tueleze wewe mwenyewe kama raia huru,
A).Sema Rais ana maradhi gani ya Mwili?
B). Sema Rais ana maradhi gani ya akili?
Ukishindwa kujibu humu, niwaombe TCRA wachukue hatua ya KUKUFIKISHA MAHAKAMANI UKATOE MAELEZO NINI HASA UNA MAANISHA, NA SABABU IPI IMEKUPELEKEA KUUNGA MKONO WAZO OVU LA ZITTO NA KUMSHAMBULIA MWIGULU NCHEMA.
Yaani utaijuaje afya ya mtu bila kumfanyia vipimo? VIPIMO NDIO VITAJIBU MASWALI YAKO. Wakati mwingine kaa kimya ufiche. ZITTO yuko sahihi na ana haki ya kikatiba ya kujua afya ya akili na mwili ya kiongozi wake. Ni nini mnaficha hapa? Mbona watu wamekosa kujiamini?
 
Naa
Hizo nguo wameambiwa na viongozi wao wavae kimkakati ili waonekane wanajali, halafu watumie matukio kama haya kutakatishia huu uporaji wa kura kwa kisingizio cha kwamba etu watu wanawachagua maana wako nao karibu kwenye matatizo yao. Wamejibinafsishia msiba ili wapate kick ya kisiasa.
Naamini unachokisema kwani nimemsikia mkuu wa mwanza akitambulisha viongozi wa ccm kama tupo nachama kimoja alafu wanasema tusilete siasa
 
Anamjibu Zitto wakati:
1. Alifika kwenye eneo la mauaji ya askari dakika chache baada ya mauaji akiwa amevaalia sare za polisi kabla hata igp hajafika!
2. Alisema watu waliouliwa na kuwekwa kwenye mifuko ya sandarusi kisha kutupwa mtoni walikuwa wahamiaji haramu hivyo manispali izike haraka bila uchunguzi kana kwamba mauaji ya hivo ni haki ya wahamiaji.
3. Abajiita mchumi first class lakini thamani ya pesa yetu ilishuka kwa kasi yeye akiwa waziri mwenye dhamana.
4. Ambaye watu wamdpotea na kushambuliwa waziwazi akiwa waziri mwenye dhamana halafu hajachukua hatua yeyote,
5. Alichafua mawe yetu nchi nzima 2015 akiwa waziri,
Leo anajifanya msemaji wa serikali kisa anataka kurudi kwenye baraza "dogo kuliko awam zote"
 
Ili ibara hiyo ya katiba itumike kunahitajika ushahidi usiotiliwa shaka kwamba afya ya Rais kimwili au kiakili imezorota au ni mbaya kiasi ambacho hawezi tena majukumu yake.
Kwa hali ilivyo sasa, huu waweza kuwa utani tu.
 
Back
Top Bottom