Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
Mwigulu Nchemba hutamsahau Jiwe, maana tangu akutumbue akili yako haiko sawa
Mbali kwenye nini? Hivi kati ya hawa wawili nani ana jina kubwa na la heshima kwa jamii ya kitaifa na kimataifa?huyo nchemba kaanza kujulikana baada ya ulipuzi wa mabomu pale arusha (soweto)wakati Zitto anajulikana toka kitambo kwa kupigana rasilimali za taifa,hence huyo nchemba hana heshima yoyote kwa jamii zaidi ya kumbukumbu ya kutisha kama si ya kuogofya ya umwagikaji wa damu za watu wasio na hatia!Mwigulu yuko mbali sana kulinganisha na Zitto Kabwe,
Kila alichoshiriki kutenda huyu Mwigulu ni lazima kitamrudia tu .Mngekuwa mna-observe humanity, Lissu mngeacha kumtibu?
Yeye angekuwa ana-observe humanity, angeacha Polisi wazuie watu kumuombea Lissu?
Sometimes ni bora kukaa kimya tu.
Mnaohangaika na Zitto ndo mnakosea. Zitto anasumbuliwa, hatunae kiakili: anaumwa. Ni mtumwa. Anatumikia ugonjwa unaoitwa Acquired Humanistic Deficiency Syndrome (AHDS). Kwa kiswahili, Zitto ameambukizwa upungufu wa utu... Huo n ugonjwa mbaya sana. Mtu mwenye AHDS, kila nafasi is an opportunity: msiba n opportunity, ajali au ugonjwa wa mwenzake n opportunity.... Anything is an opportunity to an AHDS patient!
Anakunywa chai na kupiga selfie na traffic, haya hayamhusu ila Mwigulu analazimisha yanamhusu utadhani mkewe!Kosa la Zitto ni Nini?
Ku resite katiba?
Naangalia TBC two hapa simuoni huyo unayesema msiba unamhusu, au macho yangu?
Alisema ni wahamiaji haramuNchemba mbona kwa Ben Saanane, Mawazo , watu kwenye sandarusi coco beach, MKIRU hukusema haya, mlikuwa mkakejeli wazi wazi, Rubbish! hao hawakuwa ndugu zetu au kwa vile walikuwa wapinzania! Ukshetani wako utakutafuna mpaka kaburini!
Huyu alieshindwa na Wizara na ktumbuliwa hadharani?Mwigulu yuko mbali sana kulinganisha na Zitto Kabwe,
.....chadema walimfanyia 'road show' Ndesamburo kama kilimanjaro lager huku makamanda wamekita magwanda !Wao na jezi za chama msibani kwa faida ya nani?
...ni humanity kutaka kutibiwa na anaye mtuhumu !?Mngekuwa mna-observe humanity, Lissu mngeacha kumtibu?
Yeye angekuwa ana-observe humanity, angeacha Polisi wazuie watu kumuombea Lissu?
Sometimes ni bora kukaa kimya tu.
Wewe upo ? Au umepewa kazi ya ukaguzi !?Kosa la Zitto ni Nini?
Ku resite katiba?
Naangalia TBC two hapa simuoni huyo unayesema msiba unamhusu, au macho yangu?