Mwigulu Nchemba amcharukia Zitto Kabwe

Mwigulu Nchemba amcharukia Zitto Kabwe

Mukulu wa Bakulu

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2014
Posts
4,050
Reaction score
12,967
Screenshot_20180923-120405.png
Screenshot_20180923-120359.png
Screenshot_20180923-120351.png
 
Tatizo la Mwigulu ni nini wakati katiba ndiyo imetoa mwanya huo wa kujadili personality au afya ya kiongozi?, katiba imeyatamka hayo hadharani kwa kila atakayeisoma na tafsiri yake ni kwamba hali ya afya ya kiongozi nayo inapaswa kuwa hadharani .
Ukisha kuwa kiongozi tu tambua kwamba you are open to the public, kama hautaki kujianika au kuanikwa basi usiusogelee uongozi.
Huyu Mwigulu Nchemba akili zake hazipo sawa mahali tangu zamani ni wa kumpuuza tu.
 
Nchemba mbona kwa Ben Saanane, Mawazo , watu kwenye sandarusi coco beach, MKIRU hukusema haya, mlikuwa mkakejeli wazi wazi, Rubbish! hao hawakuwa ndugu zetu au kwa vile walikuwa wapinzania! Ukshetani wako utakutafuna mpaka kaburini!
 
Mwigulu hana moral authority kuwanyamazisha watu kujadili mambo ya nchi yao!
Akiwa waziri wa mambo ya ndani alishindwa kutulinda na baadhi yetu wakakutikana wameuwawa naye hakusimama upande wetu.
Mwigulu mwisho wake utakuwa mbaya kuliko wa Nalaila Kiula. LAANA!!
 
Back
Top Bottom