lungekuta
Senior Member
- Dec 19, 2014
- 123
- 22
Ndugu yangu Mwiguli Nchemba, Muungwana ni vitendo na si kutupigia kelele kwa kujiita majina ya wanamapinduzi tu.
Maana kuna kipindi ulikuwa unavaa kama Che, Guevara ukijitahidi kumnakili mavazi, matendo mpaka na maneno. Sasa ukaamia kutuambia kuwa unaitwa Moringe Sokoine mara unakuja na swaga mpya za kuitwa Nyerer naamini mpaka mwezi wa tano utakuwa unajiita/unaitwa Matonya.
Maana kuna kipindi ulikuwa unavaa kama Che, Guevara ukijitahidi kumnakili mavazi, matendo mpaka na maneno. Sasa ukaamia kutuambia kuwa unaitwa Moringe Sokoine mara unakuja na swaga mpya za kuitwa Nyerer naamini mpaka mwezi wa tano utakuwa unajiita/unaitwa Matonya.