Mwigulu: Mimi ni Nyerere

Mwigulu: Mimi ni Nyerere

Mpwa ngoja tusubiri tuone vioja vya watu kutaka kujivalisha koti la Unyerere wakati hawana hata sifa moja ya Mwalimu. Huyu gaidi sijui anataka kumdanganya nani kuhusu rekodi yake ya uongo wa hali ya juu na ugaidi dhidi ya Watanzania.

mwigulu savimbi.jpg
nawashangaa sana watu wanaomshobokea huyu GAIDI....aende akwadanganye magaidi wenzake....kumlinganisha nyerere na mwigulu ni sawa na kumlinganisha tembo na punje ya haradali!
 
Mwigulu ni chaguo la Watanzania tulio wengi
 
Kama chanzo chako nichaukweri uyo jamaa kapagawa hawez kufanana nahao watu daima nae mwizi tu
 
Duu naona kama sifa zinakuwa nyingi kuliko aliyoyatimiza. Yaani Leo kaanza kujifananisha na nyerere. Is any tangible and verifiable thing he has really accomplished?! I doubt debe tupu haliachi kupiga kelele.
 
Nilifikiri mtu wa maana kumbe anajifananisha na dikteta! hafai hata chembe.
 
Huyu Mwigulu huo utetezi wa wanyonge anaojivika ameanza mwaka Jana mwishoni tu, hivyo uko strategically, Wala sio tabia yake ya kuzaliwa nayo.

Nyuma ya hapo alikua mpiga vijembe tu, pamoja na kuratibu matukio mbalimbali against viongozi na mikutano ya siasa ya vyama vya upinzani yanayotia Shaka.

Hata ukiangalia anachodai kutetea wanyonge ni kama amekariri tu, yaani kila siku story ni hizo hizo sijui kukimbizana na mama ntilie, wamachinga, e.t.c. na amekua akitaja tu kila mara hizi story lakini utekelezaji hakuna. Angekua ni mtekelezaji kweli tungeshaona mabadiliko.

Kingine analazimisha watu wamkubali kwa kutumia wapambe wake wamuandike kama hapa kwenye huu Uzi. Wanaomkubali ni wachache na ni watu wake, na ndio wanaolazimisha wengine tumkubali

Umenena! Nyerere hakuwa na RANGI mbili hata siku moja. Alikuwa ni yuleyule toka ujana wake hadi mauti. Siyo chemba huyu, anapokuwa mbuge anaratibu mauaji ya watu akiwa waziri anajifanya mpiganiaji haki. akipata uraisi atakula nyuma ya watu. Muogopeni kama ukoma
 
Kule Kenya kuna mtu kajitokeza anajiita mungu yehova wa munyonyi, huyu anayejifananisha na Mwl. J. K. Nyerere hana tofauti kabisa na huyo mkenya
Nimeiona "clip" yake huyo Mungu!Anadai yeye ni Mungu mtu na ameumba mbingu na dunia!
 
Mimi nilimuahidi akiomba na ccm ikimchagua nitakuja mpigia kampeni Mimi ndie MTU wa kwana kumwambia aombe uraia
 
Nyerere hakuwahi kukamatwa ugoni,Nyerere hakuwahi kununua vijana kumsifia,Nyerere hakuwa mshamba kujifananisha na kaliotangulia ili kupata sifa,Nyerere alikuwa mwanademokrasia pamoja na watz kukataa vyama vingi lakini akashauri tubadilike,sasa huyu Panyaroad amesahau alivokuwa anamtukana Dr.Slaa kwamba ana mapepo saba,akanunua vijana kulipua mabomu.
 
" CCM sio mama yangu" msimamo sio kutetea wanyonge tu, ni kutetea wanyonge ikiwezekana kuwatosa wenzako ukiwagundua wana unafiki katika utetezi wa wanyonge. Sio lelemama kutetea wanyonge hasa kipindi hiki inahitaji mtu ambaye anajua anaweza kufa maskini na akubali wazi kuishi kimaskini " mnanijengea jumba lote hili kwani mi tembo".
 
Nyerere hakuwahi kukamatwa ugoni,Nyerere hakuwahi kununua vijana kumsifia,Nyerere hakuwa mshamba kujifananisha na kaliotangulia ili kupata sifa,Nyerere alikuwa mwanademokrasia pamoja na watz kukataa vyama vingi lakini akashauri tubadilike,sasa huyu Panyaroad amesahau alivokuwa anamtukana Dr.Slaa kwamba ana mapepo saba,akanunua vijana kulipua mabomu.

View attachment 218582
 
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa Julius Nyerere kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga




CHANZO: NIPASHE

Inatakiwa tuwe na heshima na adabu mtu kama nchemba kujifananisha na nyerere kweli?
 
Kinachosikitisha ni kwamba viongozi wa CCM wanayajua matatizo yote yanayoikabili jamii na namna ya kuyatatua lakini wanacheza reggae tu na bla bla kibao.

Huo unyerere na usokoine uko wapi sasa? Au alikuwa anaitwa na videmu vyake vya utotoni ndo anatupigia kelele leo.

Au anamzungumzia Nyerere baba Yeriko?
 
Basi atoke sasa ndani ya chama kisichoaminika,chama cha magamba na mafisadi,waongo waliotuahidi maisha bora miaka 10 iliyopita kumbe wanamaanisha ya wanafamilia zao na marafiki zao kwa maumivu yetu wanawanchi.
 
Hakika anastahili. Ni Mtanzania, Msomi, Ana uzoefu na nyadhifa mbalimbali nchini, ni mwanasiasa anayejua demokrasia na anaejua kushughulikia matatizo ya nchi na wananchi, ni Mzalendo.

Hizi sifa zote alikuwa nazo Mwalimu!

tatizo mwalimu hakupanga njama za kuuwa wananchi wake, kama huyu alivyofanya kule soweto.
 
Mwigulu ni chaguo la Watanzania tulio wengi

nyerere hakuwa mropokaji, akushikwa ugoni akupanga kuuwa watu wasio na hatia akuwa mfitini wala mpika majungu akutaka kusifiwa ujinga kama hili GAIDI LAKO MTU HATARI ANAEJIFANYA KWA SASA MWEMA WAKATI NI MAJUZI TU ALIKUWA ANAPANGA NJAMA OVU DHIDI WENZAKE na ushahidi wake wa mbinguni na duniani.
 
Back
Top Bottom