Ninamkubali Mwigulu kuliko wagombea wote urais 2015 ccm kwa sababu walau ametuonyesha uthubutu wake na utendaji wake uliotukuka,amekua mstari wa mbele ktk kubuni namna ya kuongeza pato la nchi na kujitegemea na ss tumejionea ongezeko kubwa la ukusanyaji wa mapato kutoka bil 300 hadi 800 kwa mwezi,leo hii misamaha ya kodi isiyo ya lazima ni mwiko chini ya utawala wake,Mwigulu nchemba amekua akikemea maovu na ubadhirifu wa fedha za serikali wazi wazi bila kificho wala uoga hii yote ni ktk kuonyesha uthubutu na mapenzi yake kwa watanzania maskini...tunashukuru kwa kuungwa mkono na cc ya chama ccm kuungana naye ktk kupambana na ubadhirifu na wote tumeshuhudia tamko lilotolewa na ccm kuwa hatua stahiki zichukuliwe,mh Mwigulu huwa habahitishi ktk maaumizi yake anatenda kwa uhakika bila unafiki, uoga wala chuki,ila zaidi kwa uwazi na kuwashirikisha wananchi wa Tanzania kila leo kupitia media kwani ni haki yao msingi kusikia ama kwa hakika watanzania wenzangu huyu ndiye mtu sahihi kwetu 2015...