Mwigulu: Mimi ni Nyerere

Mwigulu: Mimi ni Nyerere

Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa Julius Nyerere kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga




CHANZO: NIPASHE

Zao la serikali ya watu sikivu.
 
Kwa nini Mwigulu hataki kujifananisha na Bossi wake (Kikwete).

Anajifananisha na Nyerere eti kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga... Ina maana hataki kujifananisha na Kikwete kwa sababu gani, kwa sababu hasimamii masilahi ya taifa? Tujadili..
 
Tangu lini Mwigulu kawa Waziri wa fedha? Hebu nijuzeni.
Mkuu na mimi nilidhani labda baraza la mawaziri limeteuliwa upya baada ya sakata la Escrow mleta uzi kwa kumfagilia kesha mpa na uwaziri kamili.
Urais mwaka huu anakufa mtu,fumbua macho uone maajabu kama sio miujiza.
 
Nyerere alikuwa na maneno ya busara sana na kutanguliza maslai ya taifa mbele, lakini wewe bwana Mwigulu nimepata kusikiliza speech zako zimejaa matusi na maneno ya mipasho dhidi ya upinzani badala ya kujibu kwa hoja.
Pia bwana Mwigulu uliwataka watuhumiwa wa ESCROW account walipie kodi ya serikali sasa huo sio Unyerere. Unyerere unapinga kila aina ya rushwa na ufisadi wa mali za umma.
 
Kweli n steve nyerere yule wa bongo múv.mana leo gaid kesho mbwatukaj anajua kuact ka stven nyerere
 
Back
Top Bottom