Mwigulu: Mimi ni Nyerere

Mwigulu: Mimi ni Nyerere

Du kama nyerere basi apotee hatutaki siasa za ujamaa na kubabaisha za Nyerere
 
Hakika anastahili. Ni Mtanzania, Msomi, Ana uzoefu na nyadhifa mbalimbali nchini, ni mwanasiasa anayejua demokrasia na anaejua kushughulikia matatizo ya nchi na wananchi, ni Mzalendo.

Hizi sifa zote alikuwa nazo Mwalimu!

Duh!!! hivi Nyerere(R.I.P) aliwahi kupanga njama na kulipua mabomu na kuua wananchi wake? Nyerere aliishawahi kufumaniwa na mke wa mtu? Nyerere aliishawahi kuwa na matusi ya nguoni kuwatukana wale ambao ni wapinzani wake kisiasa?
 
kwanza kama kweli anataka hafananishwe na nyerere aanze kuwakosoa kwenye chama chake kwanza maana ndo wanalea mafisadi ndo haje kwenye kitaifa

pili kama naye ni miongoni mwamagamba wanao itetea iyo katiba pendekezwa yao basi naye ndo walele wasio na uchungu na taifa wanaopelekeshwa tu

kama hawezi hivyo tu basi sawa na kelele za chura tu majini
 
kwani watu kimfananisha na nyerere au sokoine kuna shida gani. mwiguru ni mchapa kazi na anamsimamo usio yumba
 
Huyu naye ni kichaa mwingine. Anadhani kunyoa ndevu kama Mwalimu ndiyo kufanana na Mwalimu? Mwalimu alikuwa na upendo wa dhati siyo huu wa unafiki wa akina Nchemba, unawaua halafu unasema unawapenda.
 
“Watanzania sasa wana uwezo wa kujua na kuchambua kila kitu, mtu kuwa serikalini si kigezo cha kumfanya kuwa rais ila ni utendaji, hata marehemu Edward Sokoine alipokuwa akipendwa wakati huo si kwa sababu ya cheo chake ila utendaji wake,” By Mwigulu Nchemba
Mwigulu for Tz 2015
 
Mbona hajawahi kutaja majina ya WOTE waliochukua pesa zilizokuwa ktk ESCROW ACCOUNT ya BoT zilizopitishwa STANBIC BANK? Na kiasi kila mmoja alichochukua.
Sio kujiita majina asiyoendana nayo kimatendo na kiuadilifu.
 
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa Julius Nyerere kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga




CHANZO: NIPASHE

Watu wanatafuta uraisi kwa udi na uvumba! hayo mbona ayaongei kwenye vikao vya chama chake! sisi sio wajinga tena!
 
Ukipita barabara ya kati, maeneo ya Dodoma, singida ,shy..,wamechora kwenye miamba(MWIGULU 2015).Mie naona ni mwendelezo wa ujinga ,kuwafanya watz hatuna akili ya kuanalyse vi2.Uraisi umekua rahisi sana!rudisha mabilioni ya uswisi si mmepewa madaraka......
 
Ninamkubali Mwigulu kuliko wagombea wote urais 2015 ccm kwa sababu walau ametuonyesha uthubutu wake na utendaji wake uliotukuka,amekua mstari wa mbele ktk kubuni namna ya kuongeza pato la nchi na kujitegemea na ss tumejionea ongezeko kubwa la ukusanyaji wa mapato kutoka bil 300 hadi 800 kwa mwezi,leo hii misamaha ya kodi isiyo ya lazima ni mwiko chini ya utawala wake,Mwigulu nchemba amekua akikemea maovu na ubadhirifu wa fedha za serikali wazi wazi bila kificho wala uoga hii yote ni ktk kuonyesha uthubutu na mapenzi yake kwa watanzania maskini...tunashukuru kwa kuungwa mkono na cc ya chama ccm kuungana naye ktk kupambana na ubadhirifu na wote tumeshuhudia tamko lilotolewa na ccm kuwa hatua stahiki zichukuliwe,mh Mwigulu huwa habahitishi ktk maaumizi yake anatenda kwa uhakika bila unafiki, uoga wala chuki,ila zaidi kwa uwazi na kuwashirikisha wananchi wa Tanzania kila leo kupitia media kwani ni haki yao msingi kusikia ama kwa hakika watanzania wenzangu huyu ndiye mtu sahihi kwetu 2015...
 
mbona mimi suoni ujinga wake
lakini mimi naona utendaji wake unasadifu utendaji wa nyerere na sokoine
 
1) . Namfahamu Lowasa akiwa nyuma yangu
chuo kikuu NI TAPELI NA MSANII BY
PROFESSION
2 . Namfahamu Lowasa akiwa mkurugenzi AICC
Arusha aliyechota hela za WB za ujenzi wa
AICC estates hususani mabarabara ya estate ya
KIJENGE
3 . Namfahamu Lowasa wa Boyz - 2 -Men
ambao walikataliwa na marehemu JKN kwa
sababu nzuri tu kuwa hawakui wanajilimbikizia
mali kwa kutumia nafasi zao za uongozi . Au
tuseme wanatumia vibaya nafasi zao za
uongozi kwa madhilaya nchi na wananchi.
4 Namfahamu Lowasa wa Richmond na
Dowans
5 . Namfahamu Lowasa ambaye hakukutana na
JK barabarani
6 . Namfahamu Lowasa anaehongo viongozi wa
dini mbali mbali na boda boda ili uaupate urais
7 . Namfahamu Lowasa anaecheza faulo za
uchaguzi Monduli ili mradi CCM ionekane
inashinda na vyombo vya dola vinamlinda
kwenye kufanya hayo
8 . Namfahamu Lowasa mwenye ukwasi wa
kutisha ( aliotuibia kama nchi ) ambao
umefanikisha kuwanunua wajumbe corrupt wa
CC na wa mkutano mkuu ili wampitishe kwenye
kugombea urais .
9 . Namfahamu Lowasa mgonjwa ambae yuko
tayari suala la urais limtoe roho
10 . Namfahamu Lowasa ambaye CCM nzima
inamgwaya wanshindwa kumuwajibisha
11) Alijimilikisha shamba la Bwn Miller Kijenge
Mwanama, akaweka PPF complex.
12).Akachukua Jumuiya Tour akaform
Leopards Tours.
13).Akatuingiza mkenge wa RICHIMOND,
DOWANS, HADI SYIMBION mpaka leo tunalia
na charge za TANESCO!!
14) Akahamisha fedha kununua majumba
matatu London kwa mpigo, Fred
akakamatwa huko ikaonekana fedha ni za
familia ya Lowasa!!
15).Anamiliki hisa za kibabe AirTel, Voda etc
kupitia CO ya Alphatel!!
 
mbona mimi suoni ujinga wake
lakini mimi naona utendaji wake unasadifu utendaji wa nyerere na sokoine

kweli kabisa nyanile Mwigulu anasadifu fikra za Nyerere hasa kwenye uadilifu, uwajibikaji na uzalendo wa kweli
 
Lowassa Ngoyai Edward
Kashfa ya Richmond bado inamfukuza na haitaki
kumuacha. Mbaya zidi mzee wa kupitiliza na
uzee ukizidi sana sio hekima bali ni nakama, na
lolote linaweza kutokea kwa mzee na nchi ikawa
shakani.

Bernard Kamillius MEMBE Fans Page
Fedha ile kashfa ya fedha za OIC haitamuacha
salama, na binafsi namtilia shaka huyu jamaa, na
sioni kama anatosha.

Samwel Sitta
Uzee ni shidaa lakini pia alilivuruga bunge la
katiba kutokana na tamaa yake urais. Mtu kama
huyu hafai kukukabidhiwa nchi hii.
Wilbroad Slaa.
Dikteta, ameshiriki katika kukinyofoa kipengere
cha ukomo wa uongozi katika katiba ya
CHADEMA, lengo Mbowe awe mwenyekiti na yeye
aendelee kuwa katibu mkuu, na ni muumini wa
majungu katika taasisi. Hafai kukabidhiwa nchi
sababu atafukuza kazi mawaziri kwa maneno ya
makorido na ataweza kubadilisha katiba ili
kujiongezea miaka zaidi ya kukaa ikulu. Pia mzee
kama lowassa.

The Legend of Mizengo Pinda
Pinda ni kigeugeu, na haaminiki hata kidogo, kauli
zake juu ya escrow na maamuzi ya pupa na
mawaziri kuwa mizigo ni sababu tosha ya
kumfanya asifae pia Pinda ni mwizi kwenye kashfa ya escrow na sukari na mbaya zaidi huyu mzee hajitambui maana kila kitu yeye huwa anazani na kufikiri tu yaani hana maamuzi

Magufuli
Kwa uwezo wake anafaa zaidi kuwa waziri mkuu
kuliko kuwa rais, ila naye ni mkurupukaji wakati
mwingine....

Mwiguli Lameck Nchemba
Ninamkubali Mwigulu kuliko wagombea wote
urais 2015 ccm kwa sababu walau ametuonyesha
uthubutu wake na utendaji wake
uliotukuka,amekua mstari wa mbele ktk kubuni
namna ya kuongeza pato la nchi na kujitegemea
na ss tumejionea ongezeko kubwa la ukusanyaji
wa mapato kutoka bil 300 hadi 800 kwa
mwezi,leo hii misamaha ya kodi isiyo ya lazima
ni mwiko chini ya utawala wake,Mwigulu
nchemba amekua akikemea maovu na ubadhirifu
wa fedha za serikali wazi wazi bila kificho wala
uoga hii yote ni ktk kuonyesha uthubutu na
mapenzi yake kwa watanzania
maskini...tunashukuru kwa kuungwa mkono na cc
ya chama ccm kuungana naye ktk kupambana na
ubadhirifu na wote tumeshuhudia tamko lilotolewa
na ccm kuwa hatua stahiki zichukuliwe,mh
Mwigulu huwa habahitishi ktk maaumizi yake
anatenda kwa uhakika bila unafiki, uoga wala
chuki,ila zaidi kwa uwazi na kuwashirikisha
wananchi wa Tanzania kila leo kupitia media
kwani ni haki yao msingi kusikia ama kwa hakika
watanzania wenzangu huyu ndiye mtu sahihi
kwetu 2015...

Lipumba.
Huyu ni dikteta, kabla sijabalehe na sasa
nakwenda katika uzee huyu mshikaji bado ni
mwenyekiti wa CUF, akipewa nchi ataweza
kufanya ubakaji wa katiba kama alivyofanya Slaa
na Mbowe kwa katiba ya CHADMA.
Mbaya zaidi ansemwa kuwa na tabia za udini, na
kiukweli mgombea mwenye kusemwa hivyo ni
shida,
Pia naye mzee kama lowassa.

Kigwangala
Kigwangala ni mtu wa siasa za kisasi, mtu kama
huyu hafai kuwa rais wa nchi, wapinzani wake
watafute nchi huyu akiwa rais.

Freeman Aikaeli Mbowe
Huyu mtu ana upungufu wa uadilifu, rejeeni ile
video yake ya kubusiana mate mkewe hadharani
na mbele ya kamera, mbya zaidi ndio mshiriki
mkuu wa kuichakachua katiba ya chadema kwa
nia ovu, kwa nia ya kujipatia nafasi ya kuongoza
tena chadema. Akipewa nafasi ikulu yetu itakuwa
ni danguro kutokana na vitendo anavyowafanyia wabunge wake wa vitu maalum (Joyce Mukya) ataweza kuwa dikteta pia wizi wa pesa za Ruzuku za chadema na ukabila unaweza ua Nchi kabisa
 
Back
Top Bottom