utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
mwigulu ni jembe ulaya
Hakika anastahili. Ni Mtanzania, Msomi, Ana uzoefu na nyadhifa mbalimbali nchini, ni mwanasiasa anayejua demokrasia na anaejua kushughulikia matatizo ya nchi na wananchi, ni Mzalendo.
Hizi sifa zote alikuwa nazo Mwalimu!
Mijitu mijambazi inaweza kikaa majukwaaani na kujifananisha na mwl.Kambarage?hivi kwl serkali ipo watu hawa wanamdhihaki mwl.Hivi???
Waziri wa fedha, Mwigulu Nchemba asema watu wanamfananisha na hayati baba wa taifa Julius Nyerere kwakuwa anasimamia maswala yenye maslahi kitaifa bila uoga
CHANZO: NIPASHE
Huyu jamaa ni zero brain kabisa, mwanzo alikuwa anajiita Sokine, sasa amejipandisha cheo hadi kuwa Nyerere! Nyambafu Mwigulu.
Jitu halina aibu hili
Juzi nilikua safarini, nilipopita pale Ruvu kuelekea Chalinze kuna daraja ambapo treni inapita juu, kuangalia juu ya ukingo wa lile daraja kuna Mpuuzi kaandika MWIGULU NDIO RAIS 2015. Nikacheka tu maana huyu jamaa ana ndoto za ajabu mno.......na huku ni kuchafua mazingira yetu, huwezi kuandika ujinga kama huu kila mahali. I hate it.
MANI zumbemkuu Chakaza tpaul na wengine huyu kijana ni mzima kweli?
mkuu Elli kuanzia sasa kuelekea uchaguzi wa oktoba tutasikia mengi...unajua kuna wengine wanatumiwa kama kondomu lakini wakisha kutumika watatupwa. kwa hiyo, usishangae kuwaona watu wazima na akili zao wanajitoa akili na kuota ndoto za mchana. mwigulu kafanya nini hadi ajifananishe na nyerere na kufikiria kuwa rais wa nchi hii? msimu huu hata vichaa watataka kuingia magogoni. jk ameufanya uraisi wa nchi hii uonekane ni rahisi sana. heshima ya ikulu imeshuka sana kipindi hiki cha jk.
Huyu kijana mpuuzi na limbukeni asiye na mfano....
Juzi nimepita pale vigwaza kwenye daraja la train inayopita juu chini MAGARI nikaona kwenye kingo za daraja wameandika Mwigulu 2015 kote kote tena kwa wino Wa kupuliza(spray)
Nilijiuliza Sana kufanya rafu zile sehemu za umma hilo ni moja tu Kati ya mengi yafanywayo na huyo mnyiramba mshamba Wa wakutupwa.....