uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 19,849
- 38,466
Mimi siyo ccm
Wacha hao ccm waibe tu, wakati wa kufa ukifika watayaona maumivu yake
Mimi siyo ccm
JamaniMzaha mzaha mwisho utunga usaha.
Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.
Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.
Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
Mikwara mbuzi tuu, wote waliobweka leo usiku huu watatafutwa wapewe bahasha zao kisha utaona kitakachotokeaMzaha mzaha mwisho utunga usaha.
Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.
Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.
Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
Dah!Lissu kasema ni yaleyale ni walewale.
Nakumbuka mwanzo kabisa tulimshauri sana kuhakikisha anasafisha ghala.Jamani
Tusihadaiwe na hizi drama.
Mama tulishamwambia kitambo kuwa aliowateua walitemwa na mwanaKwenda sasa akidhani anawafuta machozi basi wanahamishia kilio kwake.
Hapo wanamsafisha Mwigulu kwa kumlazimisha ajiuzulu.
Hapo wanamuokoa Rais na mapungufu makubwa ya uendeshaji wa nchi.
Rais anapaswa kuviamini vyombo vya serikali na avipe uhuru vifanyekazi. Lakini hili suala la kuwaamini wanasiasa aliowateua ambao wamejipa kazi ya uchawa badala ya kumsaidia atakuja kustuka kumekucha
Kwa sauti ya Kidiplomasia alitujibu kuwa waacheni wafanyekazi. Na akasema hawatoi mara kwa mara kwa sababu ni gharama sana mteuliwa kuanza kuizoea teuzi ya mahala alopomteua.Nakumbuka mwanzo kabisa tulimshauri sana kuhakikisha anasafisha ghala.
Maana team inayo muangusha ni ile ya sukuma gang.
Mzaha mzaha mwisho utunga usaha.
Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.
Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.
Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
Hiyo ndio njia pekee tuliobakiwa nayo! Hivi sheria alizopitisha marehemu jiwe kuhusu nyaraka na takwimu hukuzisoma au hata kuzisikia tuMalalamiko hayo hayaanza juzi wa jana. Humu ndani imekuwa ni muda mrefu sana but hakuna ana share hata evidence.
Utalalamika for how long? How about uende field kukusanya vielelezo?
Nadhani nimekuelewa hoja yako mkuu 'Msanii'.Jamani
Tusihadaiwe na hizi drama.
Mama tulishamwambia kitambo kuwa aliowateua walitemwa na mwanaKwenda sasa akidhani anawafuta machozi basi wanahamishia kilio kwake.
Hapo wanamsafisha Mwigulu kwa kumlazimisha ajiuzulu.
Hapo wanamuokoa Rais na mapungufu makubwa ya uendeshaji wa nchi.
Rais anapaswa kuviamini vyombo vya serikali na avipe uhuru vifanyekazi. Lakini hili suala la kuwaamini wanasiasa aliowateua ambao wamejipa kazi ya uchawa badala ya kumsaidia atakuja kustuka kumekucha
MkuuNadhani nimekuelewa hoja yako mkuu 'Msanii'.
Lakini inanibidi niitafakari kwa kina hii habari yako kwa maana naona ina mkanganyiko mkubwa ndani yake.
Hasa hili la "...kuviamini vyombo vya serikali na kuvipa uhuru vifanye kazi..."; hivi hawa wezi ni akina nani hasa?
Ni hao akina Mwigulu peke yao?
Huyu mkuu atakaye "viamini vyombo", mchango wake ni upi katika kuvisimamia hivyo vyombo?
Kwa maoni yangu ni kwamba, ni kichwa ndicho kilichooza. Huko sehemu nyingine za mwili haziwezi kamwe zikawa salama.
Toka tupate uhuru hakuna kipindi ambacho watanzania wamepitia kipindi cha msoto kiuchumi kama wakati huu wa mwigulu akiwa waziri wa pesa.Mzaha mzaha mwisho utunga usaha.
Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.
Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.
Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
Alafu bila kusahau tozo ambapo alituambia kuwa kama tunaona tozo ni mzigo kwetu basi thamie Burundi.Toka tupate uhuru hakuna kipindi ambacho watanzania wamepitia kipindi cha msoto kiuchumi kama wakati huu wa mwigulu akiwa waziri wa pesa.
Chakula kwa familia nyingi kimegeuka kuwa anasa kutokana na mfumuko wa bei.
KabisaaaUkiwa sirias sana na siasa za nchi hii unazeeka kabla ya umri wako. Mambo ya walamba asali yatamalizwa na walamba asali wenyewe.
Leo amesema wa kulaumu ni Mhe Rais na akaongeza malipo yote upita kwake baada ya kupata idhini yake.Pesa inaibiwa halafu tunajiuliza tumuwajibishe nani wakati waziri muhusika wa fedha yupo anatuambia kama imetuuma sana tuhamie burundi 🤔🤔🤔
Tunasema tunayoyasema ni kwa vile hatujaambiwa wezi ni akina nani, hapo ndipo nilimpendeaga Magu.Ndio nasema Wizara ya Fedha imetoa pesa,Wizara zilizotumia na kufisadi zipi Sasa hapo Waziri wa Fedha na Rais wanahusikaje?
Swala waliohusika wachukuliwe hatua na kama hawachukuliwi manake kinachoitwa Ufisadi ni makubaliano ya wakubwa.