Akabi kemanya
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 226
- 346
Uzuri wa huyu jamaa anajikubali nchi niyake msimtisheMzaha mzaha mwisho utunga usaha.
Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.
Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.
Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
Huyu sindie alisema ambaye hataki ile minyaminya twende basi ahamie Bujumbura bado watu mkagoma kuhama leo tena mnatikisa kibeliti
Time hii anaweza akahamisha bunge lote bila paspoti😂😂😂