kabugira
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 1,186
- 659
Hizi ndizo baadhi ya sred zako ambazo hata mwezi haujesha, jipime:
Hee! kumbe huyu ni cha wote
Hizi ndizo baadhi ya sred zako ambazo hata mwezi haujesha, jipime:
kwan kutembea nakaka ni ajabu mbona me natembeaga sana na mzee wangu
ofcoz ni B, ila nahis kama hamjaelewa hapa, si kwamba anataka tuendelee no! ana feel guilt kwa alchokfanya na ili acjione hvyo ndo anataka tuongee then tuwe normal kama tulvyokua mwanzo, na mim sitaki kuonana nae, na wala sihitaj mawasiliano nae....
Haka ni vile vya FB, kana nyege tu katoto ka watu kaacheni!Hee! kumbe huyu ni cha wote
Sijambo nyama ya hamu
Ni PM binamu ili cku moja tutembee wote haha haha haha!
thx mmy...
Achana nae we sema unataka mtu mwingine mitaa hii ya JF akukidhi haja yako huyo mtadhalilishana bure,hebu kuya kwa apa.
hahahaha ila bina cku hzi mie mvivu kutembea
Tutatembea kwa gari binamu, cio kwa miguu.
hahahaha apo mzuka bina tukatembee lini sasa
Hope u all fine.
Jaman wana MMU yamenikuta mwenzenu, juzi siku ya Nyerere day kulikua na event nyumbani, wakaja ndugu na jamaa, sasa kuna cousin yang ambaye tulishakutanaga siku za nyuma kwenye harusi ya kaka yetu mmoja hivi tukajikuta tunashangaana, upande wangu I was like woow! I met a man of my dream, nilimpenda kwa ufupi, after asking my sister ndo akaja niambia he is ur cousin.
Basi tukawa marafiki tu na ndugu ofcoz, sasa hii juzi alivyokuja tukawa pamoja kwa mda mrefu sana! it was my father's birthday tukawa tunahudumia vinywaji pamoja mpaka event ilivyoisha, nyumbani kuna kisehemu kimejificha ndani ya garden, kuna yale maua marefu so si rahisi mtu kukuona kwa usiku, nikabeba bia zangu za kutosha nikaenda kukaa pale.
Sijui aliniona au vipi nae akaja! hapo wazee wapo ndani wanapiga stori zao, basi tumekaa tunakunywa pale na stori tukajikuta tunakiss, sio siri jaman! I wish he wasn't my cousin, bahat nzuri hatukufanya chochote kingine, just touching en kissing nikajifanya nimeshtuka nkaondoka nikaingia ndani.
Sasa toka hiyo juzi ananipigia nashindwa kupokea wala kujibu msg zake! najifikiria nitaanzaje kumuangalia tukionana, japo yeye ameniomba msamaha kwa text na kusema it just a feelngs he has for me ndo mana imetokea hivyo, na the first day ameniona amenambia yale yale nilokua namfikiria mimi.
Si kwamba sikutaka itokee! ofcoz na mimi nampenda, ila kwa hii loneliness niliyokua nayo nahisi tutaelekea pabaya na ananambia nisipoongea nae about this atamwambia my sister how much he luv me na ikiwezekana my mom, yuko tayari aonekane chizi.
Nifanyeje jamani.