belie
JF-Expert Member
- Sep 19, 2014
- 387
- 261
- Thread starter
- #41
wanakutaka wangapi bibie === https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/735402-kaka-wa-boyfriend-wangu-ananitaka.html
kawaida kwa mwanamke....
wanakutaka wangapi bibie === https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/735402-kaka-wa-boyfriend-wangu-ananitaka.html
Si ya baba hiyo si ya mama hiyo, yako mwenyewe peleka.
This is a piece of cake,
a) kubali
b) kataa komaa na msimamo wako.
Watu mna roho ngumu jaman! Yani umeshaambiwa ni cousin lakini bado tu mkalana mate na unaomba ridhaa ukamvulie kyupi! Au ndo binam nyama ya hamu! Hilo pepo tamaa lishindwe.
Katika jina la YESU na wote tuseme amin!
Umalayanop, is nat about papuchi, ye anachotaka tuwe kama zamani, kwamba nothing happened. hilo sikatai, ila nataka nipunguze mawasiliano nae, au niache kabisa coz kuna mdog wake anashikaga sim yake akakuta msg akamuonyesha mama ake! so is like washaanza kujua ndugu, na mi sitaki kuwekwa kwenye vikao vya kijinga ndo nawaomben ushauri...
Na wewe kwakujifanya under 18!
Hivi unamsemea mwanaume. Kalagabaho, anataka muonane umpe utamu!!!!Mpaka mnakiss ni kuwa anataka tunda full stopofcoz ni B, ila nahis kama hamjaelewa hapa, si kwamba anataka tuendelee no! ana feel guilt kwa alchokfanya na ili acjione hvyo ndo anataka tuongee then tuwe normal kama tulvyokua mwanzo, na mim sitaki kuonana nae, na wala sihitaj mawasiliano nae....
Mbona unajikanganya? Uliandika tarehe 22.09.2014 == https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/728696-nahisi-bado-nampenda.htmlsina kaka bahat mbaya! na huyu nilimtaman befor cjamjua kwamba ni cuzin
Mimi ni mtaalamu wa ushauri kuhusu mahusiano,hebu ni MP namba yako nikushauri.sina kaka bahat mbaya! na huyu nilimtaman befor cjamjua kwamba ni cuzin
Hujataka kuelewaSijaelewa
Faiza, na huku umo? Kule kwenye ma-stress kuna thread eti mkulu amekuwa procurement officer.Si ya baba hiyo si ya mama hiyo, yako mwenyewe
Mbona unajikanganya? Uliandika tarehe 22.09.2014 == https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/728696-nahisi-bado-nampenda.html