Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

Pole sasa kwa maumivu mliyoachiana usingejishtukia mkamaliza mchezo ona sasa umemuacha kijana wa watu anahangaika na mihemko next time usimfanyie hivyo
 
Abomination oooo......
hope u all fine.

jaman wana MMU yamenikuta mwenzenu, juzi siku ya nyerere day kulikua na event nyumban, wakaja ndugu na jamaa, sasa kuna cousin yang ambaye tulishakutanaga siku za nyuma kwenye harusi ya kaka yetu mmoja hivi tukajikuta tunashangaana, upande wangu I was like woow! I mate a man from my dream! nilimpenda kwa ufupi.... after asking my sister ndo akaja niambia he is ur cousin.

basi tukawa marafiki tu na ndugu ofcoz, sasa hii juzi alivyokuja tukawa pamoja kwa mda mrefu sana! it was my father's birthday.... tukawa tunahudumia vinywaj pamoja mpaka event ilivyoisha, nyumban kuna kisehemu kimejificha ndani ya garden, kuna yale maua marefu so si rahisi mtu kukuona kwa usiku, nikabeba bia zangu za kutosha nikaenda kukaa pale...

sijui alniona au vipi nae akaja! hapo wazee wapo ndani wanapiga stori zao, basi tumekaa tunakunywa pale na stori tukajikuta tunakiss, sio siri jaman! I wish he wasn't my cousin, bahat nzuri hatukufanya chochote kingine, just touching en kissing nikajifanya nimeshtuka nkaondoka nikaingia ndani.

sasa toka hiyo juzi ananipigia nashindwa kupokea wala kujibu msg zake! najifikiria nitaanzaje kumuangalia tukionana, japo yeye ameniomba msamaha kwa text na kusema it just a feelngs he has for me ndo mana imetokea hivyo, na the first day ameniona amenambia yale yale nilokua namfikiria mimi!!

si kwamba sikutaka itokee! ofcoz na mimi nampenda, ila kwa hii loneliness niliyokua nayo.... nahisi tutaelekea pabaya.... na ananambia nisipoongea nae about this atamwambia my sister how much he luv me na ikiwezekana my mom, yuko tayari aonekane chizi

nifanyeje jamani....
 
Ha ha ha belie.. kama walivyosema binamu nyama ya hamu.. Ila sasa inategemea na kabila lenu.. Bt all in all sio vzuri kujaamiana na cousin kwa kuwa itapelekea aina fulani ya mfarakano kwenye ukoo wenu kati ya watakaounga mkono na watakaopinga.. Go out there utamkuta kidume zaidi ya huyo cousin wako.. Atakusahaulisha na hiyo crush dhidi ya cousin..
 
Last edited by a moderator:
This is a piece of cake,

a) kubali

b) kataa komaa na msimamo wako.
 
Jamani!!!!!!!!!!! Umewakoza hata vichaa kuliko!!!!!!!! Jamani hata ukiniita me popote Nitakuja kuliko nikuachie hayo Matat........dah!!!!!!
 
Back
Top Bottom