Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

Unatakiwa kuombewa. Mapepo yanakusumbua. Kisa cha kutembea na cousin wako, wanaume wameisha duniani?
 
Faiza, na huku umo? Kule kwenye ma-stress kuna thread eti mkulu amekuwa procurement officer.

Stress ziko huku, kule husikii haya ya mtu kujisifu kalambana ulimi eti na nduguye.
 
Hope u all fine.

Jaman wana MMU yamenikuta mwenzenu, juzi siku ya Nyerere day kulikua na event nyumbani, wakaja ndugu na jamaa, sasa kuna cousin yang ambaye tulishakutanaga siku za nyuma kwenye harusi ya kaka yetu mmoja hivi tukajikuta tunashangaana, upande wangu I was like woow! I met a man of my dream, nilimpenda kwa ufupi, after asking my sister ndo akaja niambia he is ur cousin.

Basi tukawa marafiki tu na ndugu ofcoz, sasa hii juzi alivyokuja tukawa pamoja kwa mda mrefu sana! it was my father's birthday tukawa tunahudumia vinywaji pamoja mpaka event ilivyoisha, nyumbani kuna kisehemu kimejificha ndani ya garden, kuna yale maua marefu so si rahisi mtu kukuona kwa usiku, nikabeba bia zangu za kutosha nikaenda kukaa pale.

Sijui aliniona au vipi nae akaja! hapo wazee wapo ndani wanapiga stori zao, basi tumekaa tunakunywa pale na stori tukajikuta tunakiss, sio siri jaman! I wish he wasn't my cousin, bahat nzuri hatukufanya chochote kingine, just touching en kissing nikajifanya nimeshtuka nkaondoka nikaingia ndani.

Sasa toka hiyo juzi ananipigia nashindwa kupokea wala kujibu msg zake! najifikiria nitaanzaje kumuangalia tukionana, japo yeye ameniomba msamaha kwa text na kusema it just a feelngs he has for me ndo mana imetokea hivyo, na the first day ameniona amenambia yale yale nilokua namfikiria mimi.

Si kwamba sikutaka itokee! ofcoz na mimi nampenda, ila kwa hii loneliness niliyokua nayo nahisi tutaelekea pabaya na ananambia nisipoongea nae about this atamwambia my sister how much he luv me na ikiwezekana my mom, yuko tayari aonekane chizi.

Nifanyeje jamani.

hakuna love hapo mihemko ya nyege inamsumbua
 
kwan kutembea nakaka ni ajabu mbona me natembeaga sana na mzee wangu
 
Achana nae we sema unataka mtu mwingine mitaa hii ya JF akukidhi haja yako huyo mtadhalilishana bure,hebu kuya kwa apa.
 
Pole, "Binamu nyama ya hamu..." walitamka wahenga, kama vp we jibinue tu
 
Mlipokutana kwa mara ya kwanzakwenye shughuli ya ndugu yenu na mkaanza kuangaliana kwa matamanio hilo ni tukio la bahati tu ambalo linaweza kufananishwa na ajali.....ila mlipokutana kwa mara ya pili kwenye sherehe ya baba hii ni coincidence...mkajitoa ufahamu mka attempt kufanya yenu...bila kutumia utabiri wa nyota wala tunguli nadhani mkikutana kwa mara ya tatu (ambayo haiko mbali) basi habari ya mjini itakuwa mbwa kala mbwa! Utupe mrejesho half time!
 
Hope u all fine.

Jaman wana MMU yamenikuta mwenzenu, juzi siku ya Nyerere day kulikua na event nyumbani, wakaja ndugu na jamaa, sasa kuna cousin yang ambaye tulishakutanaga siku za nyuma kwenye harusi ya kaka yetu mmoja hivi tukajikuta tunashangaana, upande wangu I was like woow! I met a man of my dream, nilimpenda kwa ufupi, after asking my sister ndo akaja niambia he is ur cousin.

Basi tukawa marafiki tu na ndugu ofcoz, sasa hii juzi alivyokuja tukawa pamoja kwa mda mrefu sana! it was my father's birthday tukawa tunahudumia vinywaji pamoja mpaka event ilivyoisha, nyumbani kuna kisehemu kimejificha ndani ya garden, kuna yale maua marefu so si rahisi mtu kukuona kwa usiku, nikabeba bia zangu za kutosha nikaenda kukaa pale.

Sijui aliniona au vipi nae akaja! hapo wazee wapo ndani wanapiga stori zao, basi tumekaa tunakunywa pale na stori tukajikuta tunakiss, sio siri jaman! I wish he wasn't my cousin, bahat nzuri hatukufanya chochote kingine, just touching en kissing nikajifanya nimeshtuka nkaondoka nikaingia ndani.

Sasa toka hiyo juzi ananipigia nashindwa kupokea wala kujibu msg zake! najifikiria nitaanzaje kumuangalia tukionana, japo yeye ameniomba msamaha kwa text na kusema it just a feelngs he has for me ndo mana imetokea hivyo, na the first day ameniona amenambia yale yale nilokua namfikiria mimi.

Si kwamba sikutaka itokee! ofcoz na mimi nampenda, ila kwa hii loneliness niliyokua nayo nahisi tutaelekea pabaya na ananambia nisipoongea nae about this atamwambia my sister how much he luv me na ikiwezekana my mom, yuko tayari aonekane chizi.

Nifanyeje jamani.

kwani nyie kabira gani tuangalie tambiko lenu linasemaje?
 
ofcoz ni B, ila nahis kama hamjaelewa hapa, si kwamba anataka tuendelee no! ana feel guilt kwa alchokfanya na ili acjione hvyo ndo anataka tuongee then tuwe normal kama tulvyokua mwanzo, na mim sitaki kuonana nae, na wala sihitaj mawasiliano nae....

unataka nini sasa kama hutaki kumsikiliza mwenzio anataka kusema nini?
 
Back
Top Bottom