Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

Mwenzenu nusu nitembee na kaka yangu

kawaida kwa mwanamke....

quote_icon.png
By kampelewele

wanakutaka wangapi bibie === Kaka wa boyfriend wangu ananitaka

Hii ndiyo raha ya JF!

 
yah huyo ni ex boy wangu! na cdhan kama inaingiliana na hili
unadai katika sredi ile:

Habari zenu jamani, mimi ni mgeni kidogo humu, sina muda sana. Nilikuwa napitia tu maongezi na comment za watu na nikavutiwa kujiunga, anyway turudi kwenye point ilionileta hapa.

Nlikua nina mpenzi wangu ambaye alikua workmate wa kaka yangu, akatokea kunipenda na mimi nikampenda tukaanza mahusiano hapo. ......
Huku ukisema huna kaka!!!!! Ukiwa mwongo usiwe msahaulifu. Ref: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/728696-nahisi-bado-nampenda.html
 
mwambie tu ukwel unamuweka m2 pazul kuwa sirias ukicheka na yy anacheka
 
pole ndugu, lakin jua wazi tamaa za mwili zinaweza kukufanya ukajikuta umefanya kitu cha ajabu halafu ukajutia maisha,ndio mjue na umuhimu wa kuolewa mapema hayo yote yasingekukuta pole lakini.
 
Tyta joo kaka yangu ufanye mambo yako, maana mimi nakuaminia, jojo huku kuna jamaa anataka kutuchanga na story zake za kutunga
 
Last edited by a moderator:
kwa upande mwingine ni tayari umeshatembea nae ni bora mngemalizana tu,na hapo hauna upendo nae ila unamtamani tu,pole tena ni majaribu tu katika maisha.
 
Piganeni kimyakimya meseji za nini wakati nyie ni ndugu, mie nshapiga shemeji kimyakimya sio mnatumiana meseji za nini mtaumbuka bure.
 
Tofauti na mama wa kuzaa, takataka wengine wote hapa duniani ni kula mambos tu,
 
Nilipoanza kuisoma nilishtuka kidogo coz nimetoka kupitia kwenye kisa kama chako muda si mrefu, advice kata mawasiliano!
 
heeh mabig ...! mi kuna kijana mmoja ndugu yake na mjomba( mme wa shangazi) kila kukicha ananiambiaga huo uduanzi..nakumbuka mara ya mwisho kuonana nae ilikua kwenye harus ya sistaa 2010 tulikua benet sana na muda mwingi ktk mishe za harus hiyo tulitumwa pamoja ....tangia hapo yaani ni keroo mpaka leo hakomi kunisumbua
 
Back
Top Bottom