Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Mdee si mwanachama wetu, hue dat hizo anazovaa alizipata kwa msaada wa NdungaiNdio zile anavaa Mdee bungeni na mahakamani kwenye ile kesi yenu ya kuvamia magereza!
Mdee si mwanachama wetu, hue dat hizo anazovaa alizipata kwa msaada wa NdungaiNdio zile anavaa Mdee bungeni na mahakamani kwenye ile kesi yenu ya kuvamia magereza!
Hakuna mbunge asiye mwanachama wa chama cha siasa!Mdee si mwanachama wetu, hue dat hizo anazovaa alizipata kwa msaada wa Ndungai
Uhalali wa Mdee kuwa bungeni ni siri ya Ndungai na boss wake.Hakuna mbunge asiye mwanachama wa chama cha siasa!
Ni siri ya Mahera na Mbowe!Uhalali wa Mdee kuwa bungeni ni siri ya Ndungai na boss wake.
Hakika. Tuzingatie hayoRIP. Tuendelee kuchukua tahadhari tena tahadhari kweli maana hamkani si shwari tena. Hao wanaobishania afya yako kwenye majukwaa na platforms mbalimbali ukifa ni lako na familia yako; hutamwona hata mmoja.
Bado kidogo tutaelewana tu.Inawezekana alitumia barakoa zilizoletwa na mabeberu.
Inawezekana na wa kawaida wanaisha lakin hawatangazwiGonjwa limeamua kulamba senior citizens halina mchezo kabisa! Wazee wetu (vijana na watoto pia) msibweteke na maneno ya wanasiasa; juhudi binafsi zinahitajika kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.
Nani huyo?Kuna jamaa ameenda Dubai kuchanja kimya kimya!
Ninachoshukuru korona itaua watu mataifa yote lakini tanzania haigusi, wanaofariki tz ni wazee tu na wanafariki kutokana na uzee waoMnataka kuhusisha na Corona wakati kwa uzee wake alishakula umri wa Bibilia ukaisha
Mkuu unamjua marehemu mzee larry king alikuwa mtangazaji wa ccn?Mnataka kuhusisha na Corona wakati kwa uzee wake alishakula umri wa Bibilia ukaisha
Si kweli gonjwa linapitia senior citizens tu, common citizens ndio wengi. Matangazo ya misiba hiyo ni misikitini. Kwenye media wakitangazwa swali la kwanza litakuwa: ni nani huyo?Gonjwa limeamua kulamba senior citizens halina mchezo kabisa! Wazee wetu (vijana na watoto pia) msibweteke na maneno ya wanasiasa; juhudi binafsi zinahitajika kipindi hiki kuliko wakati mwingine wowote.
... senior citizen = elderly person; nilimaanisha hivyo; sikumaanisha viongozi au waliowahi kuwa viongozi.Si kweli gonjwa linapitia senior citizens tu, common citizens ndio wengi. Matangazo ya misiba hiyo ni misikitini. Kwenye media wakitangazwa swali la kwanza litakuwa: ni nani huyo?
Inasemekana anaanza ziara ya siku kadhaa Dsm keshoPoleni!
Nakumbuka huyu mzee ndio alichangisha fedha nyingi za kumchukulia fomu ya kugombea urais ya Dr Magufuli 2020, aliwazidi wenyeviti wengine wote!