Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,467
- 119,620
Huko benki zinaenda kuingizwa kwenye akaunti ya nani?Anawapiga sana pesa.
Jamaa mjanja anawateka wakristo wa madhehebu mengi..
Akijaga kufanya semina za nje dar wanakodi mpaka polisi wa kusindikiza pesa benki, na tawi LA karibu yake hawafungi mpaka atakapopeleka mzigo benki
Sent using Jamii Forums mobile app