Hakuna Huduma ya Ualimu Mkuu; NI changamoto ya Kiswahili Chetu; Watu wengi wanapotea sana; Huduma ziko nne tu Uchungaji, Utume, Unabii na Uinjilisti.
Iko Ivi; Lugha Yetu ya Kiswahili na pia Kiingereza Kinachangamoto ya maneno sana.
Huo Mstari uko ivi 'Naye alitoa wengine kuwa mitume,na wengine kuwa manabii, na wengine kuwa wainjilisti, na wengine Kuwa wachungaji (na) waalimu; Englishi iko ivi
And he gave some Apostles, and Some Prophets, and some evangelist and some pastors (and) Teachers
sasa Hiyo (and), (na) Sio Conjuction in Greek, greek ilitumia neno kai ambalo halina maelezo ya nayofuata sasa kai sio kiunganishi ni kama Connection ikiwa na maana ya (ambao, yaani na in englishi which is/are, therefore)
Hivyo from Original Language inabidi isome ivi:-
Naye alitoa wengine kuwa mitume,na wengine kuwa manabii, na wengine kuwa wainjilisti, na wengine Kuwa wachungaji ambao/yaani waalimu.
Kuna changamoto sana, huwa naona wahubiri wengi especially Africa, wanamuachia Roho mtakatifu, pasipo kufahamu kwamba bible ni maandishi, bila kufuata Misingi ya uandishi lazima utafundisha vitu nje na ilivyo maanishwa tangu awali. Kumbuka biblia haiwezi kumaanisha Leo, kitu ambacho muandishi wa kwanza alimaanisha.