NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,985
- 21,235
MUNGU WA ELI NI TOFAUTI NA WA MWAKASEGE?ELI ALIAMBIWA KUHUSU WATOTO WAKE AMBAO HAKUWAKUZA KWA JINA LA BWANA!!!Ayubu alijaribiwa kwa utakatifu wake sio uovu wa watoto!!!Huwezi kuniambia Mwakasege alijaribiwa coz Ule ni uovu wa mtoto kuoa mke wa mtu!!hakuna jaribu hapo zaidi ya dhambi!jaribu la mungu humpata mwenye haki katika utakatifu wake na sio uovu wake!!!!LAZIMA ATATOA HESABU YA KURUHUSU MTOTO KUOA MKE WA MTU HADI AKAPOTEZA MAISHA KWA MSONGO WA MAWAZO!!!!!!aAliruhusu uovu wa mtoto hadi akapoteza maisha!Kwani mtoto alioa bila baraka ya WAZAZI WAKE?ACHA KUTETEA UJINGA!!!Una mawazo ya kijinga sana,Mwakasege anamiliki roho?? Kwani ukishakuwa mtumishi wa MUNGU ndy huwezi kupata matatizo?? Ayubu aliyefiwa na watoto wake wote unamuongeleaje wewe?? Inamaana hakuwa mtumishi wa MUNGU sababu hakuonywa na roho?? Vitu vingine mnajitafutia laana sababu ya kuwasema vibaya wapakwa mafuta wa MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app