Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,636
- 3,162
Alifanyia kwenye bahari ile sababu nayeye alikuwa Israel anamuuguza Sedekia.... Ni sawa na mtu akawa mwanza then aamue akasali ziwa victoria
Sent using Jamii Forums mobile app
Maskini wote wanaamini kifo huja kwa mpango wa kishetani! Israel sjui Jordan watu wanaendaga na kurudi, marehemu Zedekiah kupatwa na mauti huko masikini tukajudge ivoNasikia alimtanguliza sedekia kuzimu hadi leo yupo kule anatumika kuimba!!!WANAOJUA WATUHAKIKISHIE!MI NILISHA POTEZA IMANI NA HAWA WATU!!!
Ndo inakuwaga ivo
Lango la baraka ni Yesu mkuu. Kusema ni mzaliwa wa kwanza ni kuminimize position ya Yesu.
Mch & mwl mwakasege ni mwalimu, baba wa kiroho sio mtume wala nabii wa kuleta utajiri na miujiza kama umewahi hudhuria semina zakeNina historia kubwa na hawa watu wanaosema roho mtakatifu ddjkasema!Roho mtakatifu kasema agano hili la kichawi linavunjwa kwa sh.200000/=,kumkomboa mtoto kutoka kwenye mizimu sadaka ya 20,000/= roho kasema!!!NINA HISTORIA NA HAWA WATU NA MAHUBIRI YA SADAKA ZAO ZA UKOMBOZI NA UTAJIRI WA KUBARIKIWA SIJAKURUPUKA MIMI SIO MJINGA WA IMANI HIZI!!Niliwahi shiriki semina zake!!!!Acheni ujinga wa kuamini kila kitu!!
Utakuwa umepotea kweli,Kwa kuwa umeweka Imani yako Kwa watu bad ala ya kuweka Imani yako Kwa MunguNasikia alimtanguliza sedekia kuzimu hadi leo yupo kule anatumika kuimba!!!WANAOJUA WATUHAKIKISHIE!MI NILISHA POTEZA IMANI NA HAWA WATU!!!
Kama kasema hivyo basi ni Muongo mno kwa hapo.Nadhani anaongelea fundisho la Mwl Mwakasege kwamba mzaliwa wa kwanza ndiye lango la baraka kwenye familia, hivyo ili mbarikiwe ni muhimu kumwombea huyo amjue Mungu. Kama mzaliwa wa kwanza atakuwa na mwelekeo mbovu basi atafunga baraka za watoto wengine wote.
Tunaweza kujadili hilo kwa mujibu wa maandiko wakuu
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Mkuu mtapata dhambi bure alisimulia vizuri jinsi sedekia alivyokuwa akiumwa na hatua alizochukua ikiwemo kumuuliza Mungu kwa maombi kwanini sedekia haamki je wanaongea nini (sedekia na Mungu sedekia alikuwa ulaya Israel nadhani maana mtumishi alisema alikuwa anaenda bahari flan nmesahau jina ipo kwenye bible kusali......
Akasema kuna wakati alibadilisha maombi mazuri akawa anaweka chini nguo za sedekia usiku anasali kwa kuomba maombi ya Yeriko.......but mwisho Mungu alimjibu Sedekia harudi then alikufa.....
Niliwahi jaribu hiyo style ya kuomba sema mimi nilikuwa nimeandika maombi yangu kwenye karatasi then nadakika kwa kupiga magoti mbele zake siku 3 tu nilifunuliwa vile vitu nilivyokuwa navionba tena kwa upana zaidi...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejibu vemaUSIAMINISHE WATU USHETANI WAKO KM UMEAMUA KUA MTUMWA WA SHETANI KAA IVYO IVYO AUNA IMANI NA HAWA WATU SI UACHE NANI KAKULAZIMISHA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna akili kabisa tena limbuken muamini ushirikina mnafki usie na suduri ya moyoNasikia alimtanguliza sedekia kuzimu hadi leo yupo kule anatumika kuimba!!!WANAOJUA WATUHAKIKISHIE!MI NILISHA POTEZA IMANI NA HAWA WATU!!!
Pole sanaNasikia alimtanguliza sedekia kuzimu hadi leo yupo kule anatumika kuimba!!!WANAOJUA WATUHAKIKISHIE!MI NILISHA POTEZA IMANI NA HAWA WATU!!!
Hivi unamjua mwalimu Mwakasege wewe?Nina historia kubwa na hawa watu wanaosema roho mtakatifu ddjkasema!Roho mtakatifu kasema agano hili la kichawi linavunjwa kwa sh.200000/=,kumkomboa mtoto kutoka kwenye mizimu sadaka ya 20,000/= roho kasema!!!NINA HISTORIA NA HAWA WATU NA MAHUBIRI YA SADAKA ZAO ZA UKOMBOZI NA UTAJIRI WA KUBARIKIWA SIJAKURUPUKA MIMI SIO MJINGA WA IMANI HIZI!!Niliwahi shiriki semina zake!!!!Acheni ujinga wa kuamini kila kitu!!
Huna akili kabisa tena limbuken muamini ushirikina mnafki usie na suduri ya moyo
Wanaomtukuza huyu mtu nawadharau sana.Nina historia kubwa na hawa watu wanaosema roho mtakatifu ddjkasema!Roho mtakatifu kasema agano hili la kichawi linavunjwa kwa sh.200000/=,kumkomboa mtoto kutoka kwenye mizimu sadaka ya 20,000/= roho kasema!!!NINA HISTORIA NA HAWA WATU NA MAHUBIRI YA SADAKA ZAO ZA UKOMBOZI NA UTAJIRI WA KUBARIKIWA SIJAKURUPUKA MIMI SIO MJINGA WA IMANI HIZI!!Niliwahi shiriki semina zake!!!!Acheni ujinga wa kuamini kila kitu!!
Uyu mtu wa Mungu yuko vizur nachojua ni mchumi na alisoma udsm zaidi labuda uingie kwenye mtandao.
Sent using Jamii Forums mobile app
labuda