Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Wale Wanyama walipewa Wawekezaji. Nasikia Mzee ruksa alipeleka Tausi sijui wapi kwa wawezekaji wengine.Kuna haja hata Bunge tuwape Wawekezaji maana limezidisha maigizo (Mbowe kasema).
Khe khe khe kheeee hivi jamani on a serious note, wale wanyama pale magogoni bado wapo?