Mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa RPCMkuu wa Usalama wa Mkoa.
Mkuu wa usalama wa mkoa RSO
Usichanganye
Mkuu wa ulinzi na usalama wa mkoa RPCMkuu wa Usalama wa Mkoa.
Wewe Godbless Lema mbona ni mpuuzi hivi! Watu tunaendelea na maisha yetu kama kawaida unaleta taharuki za kijinga hivi!Huu ni ushauri ninaoupeleka kwa mamlaka yake ya uteuzi , huyu aliudanganya umma kwamba ametumwa na Rais wa Tanzania kuzuia kongamano la Katiba mpya , wakati si kweli , Rais wa nchi hawezi kufanya kazi na mtu mdogo kama RPC
Hakuwa mwanasiasa wa majukwaaLwaitama si mwanasiasa , ni mtetezi wa haki
Kwi Kwi Kwi
Sihangaiki na watu duniWewe Godbless Lema mbona ni mpuuzi hivi! Watu tunaendelea na maisha yetu kama kawaida unaleta taharuki za kijinga hivi!
Hao ma CHADEMA kwenye hiyo picha akiwemo huyo Dr. Azaveri Lwaitama ukiwaangalia vizuri ni watu wenye frustration za maisha tu! Katiba ni kisingizio tu!
RPC Mwanza alifanya kazi zake kwa weledi, wewe tunajua siku zote unachuki na polisi kutokana na "kazi" zako za nyuma!
Kwa hiyo angealikwa Kabudi basiHakuwa mwanasiasa wa majukwaa
Never and Never againKesho Mbowe atamsifia sana hayati Magufuli!
Wapigania Uhuru Phase IIHuu ni ushauri ninaoupeleka kwa mamlaka yake ya uteuzi , huyu aliudanganya umma kwamba ametumwa na Rais wa Tanzania kuzuia kongamano la Katiba mpya , wakati si kweli , Rais wa nchi hawezi kufanya kazi na mtu mdogo kama RPC...
Wameunganisha uzi wa kutimuliwa RPC wa Mwanza bila welediNi aje Mkuu?
Mamlaka hiyo anaitoa wapi,je uhalali wa hatua aliyoichukua ni ipi? Kwanini asichukue hatua sawa kwa vyama vyote?Acheni usanii RPC aliwapa barua siku nyingi tu kuwa amekataza mkutano mkawa mnaipost kwenye mitandao.
Kwanza hayo makongamano uchwara yanaingiza pesa kiasi gani kama si kutaka kuleta Shari na kueneza corona? Piga chini ujinga kama huo
Bila shaka, kwani hii nchi wenye mamlaka mko wangapi? Acheni upumbavu mtaishia kulia Lia na kulalamika kwa upuuzi wenu kila siku.Kongamano niliona jana Dar es salaam, sijui la amani na kuombea viongozi lililoandaliwa na kuhutubiwa na Mkuu wa mkoa, nalo naona liliomba na kupata kibali cha polisi......... kazi kwelikweli.
Bila shaka, kwani hii nchi wenye mamlaka mko wangapi? Acheni upumbavu mtaishia kulia Lia na kulalamika kwa upuuzi wenu kila siku.
Eti watawala waweke kongamano liwe na Kibaki au hapana na wewe uige utakuwa huna akili,hakuna nchi ambayo hakuna utaratibu