Mwanza kutamu asikwambie mtu

Ndo Mara yangu ya kwanza kuona umetoa comment ndefu hivi!
Wa Arusha niko hapa…
Nilikuwepo Mwanza zaidi ya 1 week!
Aisee ni patamu 😋😋
Nikiokota hela nitarudi tena.
Hata wafanya biashara wao wana ukarimu kwa mteja. Hiki kitu Chuga sio sana, labda wapaka rangi wa Chuga ndio at least wako wakarimu kwa mteja.
 
Mwanza sasa ni kama home, nimekaa huko zaidi ya miaka 3 kabla ya kurudi Arusha. Nimefanikiwa kununua maeneo mbalimbali na kujenga pia. Ndugu na marafiki wengine walivutiwa nao wakanunua maeneo mengi huko. Mimi nilivutiwa na samaki na ukarimu wa wakazi wa huko, especially watu wa kisesa
Hongera
 
Napenda sanaaaaaa
Mfuko ukiwa tu mzuri mimi huyooo
Next stop ni mbeya, ruvuma hadi Zambia...
Ah nice
Fanya tour dear
Enjoy while you can ..

Kuna uzi humu wa vivutio ni mzuri mno
Unaweza ukaupitia kuona sehemu nyingine ya kwenda



Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania
 
Wa Arusha niko hapa…
Nilikuwepo Mwanza zaidi ya 1 week!
Aisee ni patamu 😋😋
Nikiokota hela nitarudi tena.
Hata wafanya biashara wao wana ukarimu kwa mteja. Hiki kitu Chuga sio sana, labda wapaka rangi wa Chuga ndio at least wako wakarimu kwa mteja.
Kwa maneno uliongea umenishawishi sana niende uko Asante kwa experience yako uliotupa
 
Ah nice
Fanya tour dear
Enjoy while you can ..

Kuna uzi humu wa vivutio ni mzuri mno
Unaweza ukaupitia kuona sehemu nyingine ya kwenda



Uzi wa Matembezi (Travel & Vacations) na Vivutio vya Utalii nchini Tanzania
Senkyuuuuuu ❤❤❤
 
Dahh ntakuwa naenda angalau kwa mwaka mara moja nile maisha mimii
Safari nyingine nataka niende hadi ukerewe
Unaona rahaaaaa mkuu kutembea tembea mwenyewe umetuona tulivo mahandsome umetutamaaan
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom