HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 386
- 392
Ndo Mara yangu ya kwanza kuona umetoa comment ndefu hivi!
Wa Arusha niko hapa…
Nilikuwepo Mwanza zaidi ya 1 week!
Aisee ni patamu 😋😋
Nikiokota hela nitarudi tena.
Hata wafanya biashara wao wana ukarimu kwa mteja. Hiki kitu Chuga sio sana, labda wapaka rangi wa Chuga ndio at least wako wakarimu kwa mteja.