Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Hahahaaaaa wabongo bhana cjui ni nani anaewauzia tumbaku yaan kabla hamjavaa sox mnaanza kuvaa viatu alfu ndo mvae sox kwel viatu
vichwa box rafu Leo mmechezea sharubu za rock city sa nawafanya wafu.
Hivi kwann watanzania ni watu wa ajabu Sana ujinga ukabila ujuaji na ushamba ambao wametoka nao vijijin kwao
yaan ukimwambia mtu kwamb unaish mwanza au unatokea mwanza anakuona mshamba na anapaona mwanza ni kijijini mfano wa njombe ndani ndani .
Alf ukimuuliza bob ushawah kufika mwanza anasema hamna nhenhenhee Sasa kama hujawah kufika unapasikia tu kwny redio unajuaj kama ni kijijini kama palivo kwenu man
Wazee mnaoiponda mwanza em jarbuni muende kuish hata mwezi mmja kwny Jiji Hilo ili mjue nn sabab ya mwanza kuwa Jiji la pili baada ya daslam au njia rahsi isiyokua na ghrama google tu Mwanza uione then ndy mcomment Hapa.
Kwa msiojua tu Mwanza ni ya wasukuma kama ilivyo dar ya wazaramo lakini population iliopo Mwanza makabila karibu yote Tanzania yapo kule na wanafanya maisha Yao na hamna anaewabugudh sabab sisi wote binadam na ni watanzania pia.
Tofauti na watu wa Mwanza, Arusha na Dsm watu wamikoa mingine ya vijijin wanapaona kama dar ni New York na wanapahusudu kinoma sabab wao wanatokea shamba kwnye mapori na vinjia vya vumbi ambapo unaeza tembea kilometer Zaid ya moja usione mtu 😅😅😅
Wabongo tupendane tuache ukanda na ukabila
Nyerere ni baba yetu na Samia ndy mama yetu mura
Anyway karibun Jijini Mwanza Rock City
M ndo nmeingia Leo huku kula valentine nipo zangu Hapa capripoint nakula Sato na upepo wa ziwa .
vichwa box rafu Leo mmechezea sharubu za rock city sa nawafanya wafu.
Hivi kwann watanzania ni watu wa ajabu Sana ujinga ukabila ujuaji na ushamba ambao wametoka nao vijijin kwao
yaan ukimwambia mtu kwamb unaish mwanza au unatokea mwanza anakuona mshamba na anapaona mwanza ni kijijini mfano wa njombe ndani ndani .
Alf ukimuuliza bob ushawah kufika mwanza anasema hamna nhenhenhee Sasa kama hujawah kufika unapasikia tu kwny redio unajuaj kama ni kijijini kama palivo kwenu man
Wazee mnaoiponda mwanza em jarbuni muende kuish hata mwezi mmja kwny Jiji Hilo ili mjue nn sabab ya mwanza kuwa Jiji la pili baada ya daslam au njia rahsi isiyokua na ghrama google tu Mwanza uione then ndy mcomment Hapa.
Kwa msiojua tu Mwanza ni ya wasukuma kama ilivyo dar ya wazaramo lakini population iliopo Mwanza makabila karibu yote Tanzania yapo kule na wanafanya maisha Yao na hamna anaewabugudh sabab sisi wote binadam na ni watanzania pia.
Tofauti na watu wa Mwanza, Arusha na Dsm watu wamikoa mingine ya vijijin wanapaona kama dar ni New York na wanapahusudu kinoma sabab wao wanatokea shamba kwnye mapori na vinjia vya vumbi ambapo unaeza tembea kilometer Zaid ya moja usione mtu 😅😅😅
Wabongo tupendane tuache ukanda na ukabila
Nyerere ni baba yetu na Samia ndy mama yetu mura
Anyway karibun Jijini Mwanza Rock City
M ndo nmeingia Leo huku kula valentine nipo zangu Hapa capripoint nakula Sato na upepo wa ziwa .