Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,185
- 13,760
Hata kuiandika tu hiyo Mayonnaise ni mtihani kwakoHahahaha,,
hata mayoneiz usikute hamna..
Hata kuiandika tu hiyo Mayonnaise ni mtihani kwakoHahahaha,,
hata mayoneiz usikute hamna..
Unajua kuna watu wanachekesha sana,Mwanza inasupply vyakula kwa Wale wazungu wa Geita Gold Mine kuanzia mikate na kila aina ya chakula wanachotumia ije kuwa hakuna Brown Bread kweli? Hapo Mwanza kuna Royal Bakeries kibao.Kuna U-turn Supermarket ina kila bidhaa ambazo kwa hapa ulinganishe na Shoppers or Villange supermarket,halafu mtu aje atudanganye kakosa Brown Bread mji mzima wa Mwanza.Kuto kujua kwao, haimaanishi bidhaa hiyo hamna, wao huenda Dukani kununua mkate, lakini hawajaulizia mkate wa namna hiyo.
Mimi nipo Dar, ukiniuliza swali la wapi utapata mkate wa namna hiyo, sina jibu, kwa sababu haijawahi kuwa hitaji langu.
Endelea kujitekenya na kujifariji lakini ukweli mchungu ni kwamba Arusha mpaka Yesu anarudi haitakuja kuifikia Mwanza kamwe. Pole sana mwenye meno ya rangi kama kashata.


Nimecheka nilivyovuta picha ya kashata na meno ya wenyeji wa Arusha kweli vinafananaKuto kujua kwao, haimaanishi bidhaa hiyo hamna, wao huenda Dukani kununua mkate, lakini hawajaulizia mkate wa namna hiyo.
Mimi nipo Dar, ukiniuliza swali la wapi utapata mkate wa namna hiyo, sina jibu, kwa sababu haijawahi kuwa hitaji langu.
Kazunguka weee maelezo mengi kisa atuambie alikuwa anatafuta 'brown bread' kumbe lengo lake ni hilo la aya ya mwishoLengo sio mkate Ila Aya ya mwisho hapo Chini na bila Shaka wewe ni chalii ya Chuga.
Yani nimemshangaa sanaSio kweli....royal oven ipo tele
Ngoja tumwelekeze aende U-Turn Supermarket ataikuta ipo tele,lakini asituletee blah blah zake za Mwanza nzima haina Brown BreadsUpatikanaji wa bidhaa ni kulingana na uhitaji wake/matumizi. Kwa Mwanza mikate hiyo haina soka kabisa na inauzwa bei ndogo kulinganisha na white bread. Sasa ukizingatia na kua mikate haina shelf life kubwa kwanini wafanya biashara wahangaike nayo?
Ukweli ni kua mikate hiyo ipo lakini haipatikani kila mahali sana sana kwenye supermarkets za wahindi utakuta tele.
Ungeuliza TU; nipate wapi mkate wa Brown Mwanza?Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Ni moja ya chakula chenye afya,hatuli Chips zege kama nyie wa DarKwa hiyo Ndio mshindie udaga?![]()
Uwongo mkubwaKuna wakati nikiwa mwanza nakumbuka kipindi makoroboi ikiwa hai nilizunguka jiji zima kutafuta kandamnili(ndala) huwezi amini nilikosa.
Tokea that day jiji la Mwanza nilidharau.
Kula kitimoto na bia achana na wanga.Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Nimecheke sana niliposoma hii Thread.Nikaishia kusema huyu atakuwa kafikia Mabatini au Igogo huko ndiyo maana hajaweza kuipata hiyo mikate sawa tu na uwe Tandale au Manzense kisha uulizie wapi utapata Pizza.AChana nao, wazungu wa Migodini lake zone kote mahitaji yao ya vyakula yanatokea mwanza sasa kama mzungu anapata mahitaji yote mwanza sembuse huyo mmatumbi wa jf ndio aje aseme sijui brownbredi nininini huko...
Hoja ni kuwa hata supermarkets hawaijui hiyo mikate ya brownKuto kujua kwao, haimaanishi bidhaa hiyo hamna, wao huenda Dukani kununua mkate, lakini hawajaulizia mkate wa namna hiyo.
Mimi nipo Dar, ukiniuliza swali la wapi utapata mkate wa namna hiyo, sina jibu, kwa sababu haijawahi kuwa hitaji langu.
Kumbe unaenda Bakery,Mimi siyo hitaji langu
Lakini nakutana nayo bakery