Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Muongo wewe Royal Oven hiyo mikate ipo kilaa siku!rudi ulipotoka tuache na jiji letu hatutak wageni wenye maneno maneno
Jiji la mwanza lianze kuweka mipango kazi ya kuzuia watu wenye DNA za kibinti kwa watoto wa kiume kuja Mwanza, huku mwanza hakuwafai watu wenye element za umbeya kama mleta mada.
 
Hukuwenda pale royal oven karbu na Mwanza hotel ipo mingi tu na pale pembeni yake kuleana (pizeria )ipo we ulikuwa Mwanza ipi kama hayo maeneo hukufika mkuu au ulikuwa unatafuta vitumbua vya miamia katikat ya jiji !!!!!
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.

Nyinyi wa Mwanza hata mkikosa pumzi sawa tu, Mlitesa sana kipindi cha mwendazake.
 
Kwani Arusha wanataka Ziwa Au Idadi ya Watu? Viko vitu vya msingi
Hatujazoea kuishi kwa nyama nyekundu kama hao wavuta bangi wa Arusha, sisi Mwanza kila kitu unapata, nyama nyekundu, kuku, samaki of all kinds mboga za majani n.k. hicho kijiji chenu sijui mnakiita kiarusha muwe mnalinganisha na Sumbawanga, Mwanza siyo level yenu.
 
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Hakuna cha mkate wala nini kiini cha mada yako ni hayo maneno
Wivu na chuki dhidi ya mwanza vitawauwa, wewe endelea kutibu kisukari chako tena pole sana, hizo mikate ya brown inapatikana sehemu nyingi tu mwanza lakini watu hawapendelei na bei yake ipo chini kulinganisha na white bread.
Hivi wewe kwa akili yako unaona kwamba Arusha ni Jiji ? Pole sana kweli kukosa elimu ni ugonjwa mbaya sana.
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Mwanza kuna mbadala wa vyakula vingi vya breakfast watu wengi wanapenda mihogo, magimbi, viazi, karanga za kuchemusha, supu ya samaki sato, ndizi ambazo ni natural and pure organic, ulisema Brown 🍞 kweli hapo utakuwa umekosea sana kwa wasukuma na wengine wa wakuja Mwanza yaani badala ya kula mihogo, ndizi, magimbi, viazi vya kukausha na fresh na supu ya samaki ambavyo ni pure organic ule brown bread.
 
Back
Top Bottom