Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Mimi nimekosa Nutella
Huo ni uongo jamanii zipo kila kona
Mimi nimekosa Nutella
Jiji la mwanza lianze kuweka mipango kazi ya kuzuia watu wenye DNA za kibinti kwa watoto wa kiume kuja Mwanza, huku mwanza hakuwafai watu wenye element za umbeya kama mleta mada.Muongo wewe Royal Oven hiyo mikate ipo kilaa siku!rudi ulipotoka tuache na jiji letu hatutak wageni wenye maneno maneno
Ndio mji mkubwa baada ya darMwanza sio jiji. Ni mji mkubwa tu.
Fika rock city ujionee ukubwa wake kwa macho yako.Mkuu Mwanza kuna ukubwa gani?
Ni kijiji kikubwa cha wavuvi baada ya darIvi mwanza ni jiji au kijiji cha wavuvi?
Ndio wanamiliki kwa wingi sana tofauti na arusha wengi mnakunyari kwenye ma mifuko ya rambo na kuvuta tu ma bangeIvi mwanza wananchi kwa sasa wana miliki vyoo?
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Inawezekana ila sio jiji. Haina tabia ya majiji. Ni likijiji likubwa. Sema ina watu wengi baada ya dar. Ukubwa gani wakati ni shambani tu hapo?
Hahaha sasa Matusi ya nini mzee..kwani bado munakunya ziwani mule 😀😀😀Hapana huwa hatumiliki choo lakini huwa tunamiliki matako yenu.
Ahaa kumbe ni kijiji kikubwa kwa maana ya wingi wa watu mkuu si ndio?! Maana munazaliana kama panya vile 😀😀😀
Utakufa kwa chuki zenu, arusha bado ina safari ndefu kuikuta Mwanza😝😝😝😝Ahaa kumbe ni kijiji kikubwa kwa maana ya wingi wa watu mkuu si ndio?! Maana munazaliana kama panya vile 😀😀😀
Pumbav huku kuna mihogo,viazi na njugu mawe. Fireeee.Hahahaha,,
hata mayoneiz usikute hamna..
Hatujazoea kuishi kwa nyama nyekundu kama hao wavuta bangi wa Arusha, sisi Mwanza kila kitu unapata, nyama nyekundu, kuku, samaki of all kinds mboga za majani n.k. hicho kijiji chenu sijui mnakiita kiarusha muwe mnalinganisha na Sumbawanga, Mwanza siyo level yenu.Kwani Arusha wanataka Ziwa Au Idadi ya Watu? Viko vitu vya msingi
Jinga hiloEti kuna vibe gani? Si ndiyo ushamba wenyewe sasa huo.Watu wanaangalia mzunguko wa uchumi wewe unakuja na ujanja wako wa Form Six wa kuulizia vibe gani?![]()
Hivi wewe kwa akili yako unaona kwamba Arusha ni Jiji ? Pole sana kweli kukosa elimu ni ugonjwa mbaya sana.Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Hakuna cha mkate wala nini kiini cha mada yako ni hayo maneno
Wivu na chuki dhidi ya mwanza vitawauwa, wewe endelea kutibu kisukari chako tena pole sana, hizo mikate ya brown inapatikana sehemu nyingi tu mwanza lakini watu hawapendelei na bei yake ipo chini kulinganisha na white bread.
Mimi nimemquote huyo jamaa anayeipondea mwanza kwa kutumia mikate, nizakale toka lini mimi nikawa mfuasi wa wavuta bange wa arusha.Hivi wewe kwa akili yako unaona kwamba Arusha ni Jiji ? Pole sana kweli kukosa elimu ni ugonjwa mbaya sana.
Mwanza kuna mbadala wa vyakula vingi vya breakfast watu wengi wanapenda mihogo, magimbi, viazi, karanga za kuchemusha, supu ya samaki sato, ndizi ambazo ni natural and pure organic, ulisema Brown 🍞 kweli hapo utakuwa umekosea sana kwa wasukuma na wengine wa wakuja Mwanza yaani badala ya kula mihogo, ndizi, magimbi, viazi vya kukausha na fresh na supu ya samaki ambavyo ni pure organic ule brown bread.Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Ohh, sorry brotherMimi nimemquote huyo jamaa anayeipondea mwanza kwa kutumia mikate, nizakale toka lini mimi nikawa mfuasi wa wavuta bange wa arusha.