Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Tulihobhaba mwamiii.naleja mwa sengi wane.tulage mamikate hayana hata sukali
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Ulienda Pizzeria ukakosa brown bread?
 
Mwanza kuna mbadala wa vyakula vingi vya breakfast watu wengi wanapenda mihogo, magimbi, viazi, karanga za kuchemusha, supu ya samaki sato, ndizi ambazo ni natural and pure organic, ulisema Brown 🍞 kweli hapo utakuwa umekosea sana kwa wasukuma na wengine wa wakuja Mwanza yaani badala ya kula mihogo, ndizi, magimbi, viazi vya kukausha na fresh na supu ya samaki ambavyo ni pure organic ule brown bread.
Na wakati brown bread wanaonunua wengi wagonjwa wa sukari
 
Kuna wakati nikiwa mwanza nakumbuka kipindi makoroboi ikiwa hai nilizunguka jiji zima kutafuta kandamnili(ndala) huwezi amini nilikosa.

Tokea that day jiji la Mwanza nilidharau.
Ama kweli maneno husadifu wajihi,nimecheka Sana nilipolinganisha avatar yako na maneno yako,ulikuwa unazitafutia wapi hizo ndala? Unvenunua kata mbuga tu zimejaa hapo makoroboi na ndio utamaduni wetu.
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
mabumunda au??
 
mbona mwanza mikate hiyo imejaa mimi nakula kila siku brown bread inapatikana mtaa wa uhuru na pia mtaa wa rufiji na nkurumah mbona ni nyingi tu weww ndio mshamba
 
Back
Top Bottom