Mchome Jr, usitete kamasi za haka kamji...ni kachafu sana...look....ukifika mianzini mataa kwende huko juu ni uozo mtupu tope na taka kibao kama sokoni wakati ni ndani ya Km1.5 za jiji...ukifika kona ya ilboru kwenda juu ni taka tupu...Sanawari mataa kwenda juu ni uozo mtupu...Mount meru kwena juu kuna kilami mshenzi hapo kinaishia ofisi za serikali baada ya hapo ni taka tupu kwenda juu....Yaani kimsingi unaposhuka mainroad ukienda kulia au kushoto ndani ya mita 50 ni vurugu tupu .....yaani ndani ya jiji mpama leo kuna nyumba zimejengwa kwa tope na fito za miti within 2km of the city! Bado unajisifia jiji!