Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mkuu SaiGonE kubishana na muha ni kazi hawa watu huwa wanapeana mpaka shift ya kubishana na watu ndiyo maana mimi nimemkacha
 
5bb4Arusha-City.jpg
.
Arusha city centre
 
Wewe mtoa mada inaonekana umeingia leo mwanza yaani mwanza ya miaka ile 2002 ulinganishe na mwanza ya 2016 acha utani mwanza imepiga hatua sana ninachokushauri nenda kwenu kigoma mkajenge dubai mliyoahidiwa na jk mwanza yetu tuachie wenyewe
Mtoa mada analeta masihala
Jiji la Mwanza ana linganisha na kijij
 
Hehehe haya mkuu
Ila umepanic tu
Mie Mwanza ndio Nyumbani kwasasa
Kigoma ni Nyumbani kwa Asili

Baba na mama yangu walihamia Mwanza mie na miaka 7

Kwa msuka ndio home
Hivyo naijua Mwanza sana
Nimesomea Pamba

Kasi iliokuwapo 2002-2010. Haipo sasa
Mwanza imedoda
Kwa msuka maeneo gani?
 
Acheni kuifananisha Mwanza na upuuzi,Arusha bado ni Manispaa tu...hakuna cha maana japo taasisi kubwa za kiserikali Kama TANAPA,TAEC,AICC zina makao Makuu...ila Mwanza inajengwa na wanamwanza wenyewe...Kutoka Igoma mpaka Buhongwa ni Route ndeefu ila.bado uko ndani ya jiji na hamna uswahili...Mwanza ni kubwa imepanuka na huduma kubwa kubwa za kibiashara na si Arusha...
Niko Arusha mwaka wa Sita sasa ila nikifika Mwanza najisikia raha...hasa nikiwa Kenyatta road kuelekea Airport ukiona mwambao wa Victoria ni Raha hasa...Huku Arusha ni viroba na bangi tu...sehem ambayo iko vzuri ndo inaendelea kwa sasa ni Njiro,tena Mwisho ni hapa Njiro kwa Msola...ila maeneo mangi ni uswahili afu kamji ni kadogo mno.
Mwanza ndo jiji la pili kwa ukubwa,wingi wa watu na kiuchumi...Jamani mnapoandika vitu mfikrie vzuri.MWANZA ipo Top five ya majiji Afrika Mashariki..na si Manispaa ya Arusha
Kweli bwana
Arusha unaitembea kwa masaa 4 kwisha habari yake
 
Back
Top Bottom