Kumbe wewe ni Muhaa....basi waha ni wabishi dunia nzima....ndo maana kigoma haina tofauti na udengerekoni.....Hehehe haya mkuu
Ila umepanic tu
Mie Mwanza ndio Nyumbani kwasasa
Kigoma ni Nyumbani kwa Asili
Baba na mama yangu walihamia Mwanza mie na miaka 7
Kwa msuka ndio home
Hivyo naijua Mwanza sana
Nimesomea Pamba
Kasi iliokuwapo 2002-2010. Haipo sasa
Mwanza imedoda
Walianza na Rwanda,ikaja Kenya sasa moto umehamia mkoa kwa mkoa, jiji kwa jiji wameiacha pending[emoji1]Mmeanza kubaguana ndani ya Tanganyika wenyewe kwa wenyewe.
Huijui mwanza weweHayo madharau waambie wenzo wa mwanza kwa kuwa na mji kmeo wala co jj unathubutu kuilinganisha jj la a town na hicho k mji cha mwanza
Hehehe Maghorofa Mwanza yapoLets conclude hapa kwamba Mwanza imeshinda kumbe mtoa mada alitaka uchokonozi wa kufahamu status ya mwanza as the second biggest city in the country but tunataka mjenge towers not those dwarf magorofa they are even in Singida
Haha singda nako kuna ghorofa?Lets conclude hapa kwamba Mwanza imeshinda kumbe mtoa mada alitaka uchokonozi wa kufahamu status ya mwanza as the second biggest city in the country but tunataka mjenge towers not those dwarf magorofa they are even in Singida
Sasa nawe si ueke au unataka kila mtu aeke nyumbani kwaoKaka embu weka picha za huko tunakoishi si huko tunakokwenda kufanyia semina zetu...maake 60 percent ya mazingira yetu ndiyo yanaeeza kuamua ile kweli tunayotaka kuiona