Timbilimu upo sahihi, centre ya mji wa Arusha ni ndogo sana kulinganisha na Mwanza.Nilidhani najadiliana na mtu anaye elewa miji yote miwili kumbe ni shabiki tu kama hawa wa ligi zetu za matopeni!!
Nijibu tu maana kwa sasa arusha ndo jiji safi Tanzania kwa tuzo zilizotolewa juni mwaka jana...tena baada ya kuizidi mwanza iliyokuwa inaongoza kwa mda mrefu.Huo usfi wa aina gani upo Arusha ndg!?
Mi naona huu uzi hauna faida yoyote.kwani lengo hasa la huu uzi ni nini?
Tunaeleweshana tu mkuu kipindi cha nyuma mji ulikua mchafu kweli lakini kuanzi 2015 mwanzoni km wewe upo arusha utaelewa kwanini imepewa tuzo ya jiji safi na sio hayo majiji mengine.Mchome Jr, usitete kamasi za haka kamji...ni kachafu sana...look....ukifika mianzini mataa kwende huko juu ni uozo mtupu tope na taka kibao kama sokoni wakati ni ndani ya Km1.5 za jiji...ukifika kona ya ilboru kwenda juu ni taka tupu...Sanawari mataa kwenda juu ni uozo mtupu...Mount meru kwena juu kuna kilami mshenzi hapo kinaishia ofisi za serikali baada ya hapo ni taka tupu kwenda juu....Yaani kimsingi unaposhuka mainroad ukienda kulia au kushoto ndani ya mita 50 ni vurugu tupu .....yaani ndani ya jiji mpama leo kuna nyumba zimejengwa kwa tope na fito za miti within 2km of the city! Bado unajisifia jiji!
Kwa mazingira haya bado sana, bado unga ltd.![]()
![]()
Mchome jr, hapa pekee ni ndani ya jiji nyuma ya hayo majengo ni taka zimerundikana huko
Mkuu kama ni hivo basi napata mashaka sana na hali ya usafi kwa mwanza kwasababu kama arusha ni pachafu na bado panapewa tuzo ya jiji safi tz tena kwa kuipindua mwanza unafikiri mwanza hali iko vipi.Mchome jr tatizo unatembea ndani ya gari muda wote...huu mji waulize waenda kwa miguu?