Mwanza: Hotuba ya Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho

Dr Restart

JF-Expert Member
Jul 15, 2021
3,301
17,162
Wasalaam.

Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.

Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho.

Katika hotuba hiyo, Mh Mbowe amesisitiza tuungane kama nchi pasivyo ya mgawanyo wa Vyama kuisukuma Tanzania mbele kuwa nchi yenye furaha na amani. Mwenyekiti huyo amesisitiza kuwa hatuwezi kugawana vipande vipande kwa minajili vya vyama vyetu vya kisiasa.

Kwa kumsikiliza tu, mtu mwenye akili anapata ufahamu kuwa Mbowe sasa anataka kuibadili CHADEMA kutoka kuwa Chama cha Kiharakati na kuwa Chama cha Siasa jumuivu. Anayaendeleza yale ambayo Mh Lowassa, alikuwa akiyahubiri katika mikutano yake ya kisiasa alipopewa jukumu la Kuwa mgombea nafasi ya Uraisi kwa muunganiko wa Vyama kadhaa (UKAWA).

Lakini, sehemu kubwa ya Wanachama wa CHADEMA wana damu inayotokota kiharakati. Kwa wao, vyama vingine haswa CCM ni maadui wao. Na hapa ndipo ninapoona ugumu wa safari ya Mbowe katika kufanikisha hilo.

Hivi karibuni, ilisambaa video ya kaka (ndugu) wa Mh Heche akimkataza mwananchi mmoja kuingia katika kilinge chake cha kazi kwa sababu tu amevaa nguo ya Chama cha Mapinduzi. Wapo waliojitokeza kulaani.

Nilipitia baadhi ya Comments za wale ninaodhani ni wanachama ama wafuasi wa CHADEMA. Kwa hakika, wanaonyesha kufurahia jambo hilo na ipo chuki ya wazi juu ya wanachama wa vyama vingine vya kisiasa.

Sehemu kubwa ya Wanachama pamoja na viongozi, wana damu na ari ya kiharakati. Ni ngumu sana Mh Mbowe kuwabadilisha. Kelele zile za kusema Mh Mwenyekiti analamba asali zitazidi mara mia ya hapo awali.

Ni ama Mh Mbowe abadili mawazo yake ama aachie ngazi kwa damu nyingine.

Tupo hapa kusubiri.
 
Wasalaam.

Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.

Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebaba dira na mwelekeo wa Chama hicho.

Katika hotuba hiyo, Mh Mbowe amesisitiza tuungane kama nchi pasivyo ya mgawanyo wa Vyama kuisukuma Tanzania mbele kuwa nchi yenye furaha na amani. Mwenyekiti huyo amesisitiza kuwa hatuwezi kugawana vipande vipande kwa minajili vya vyama vyetu vya kisiasa.

Kwa kumsikiliza tu, mtu mwenye akili anapata ufahamu kuwa Mbowe sasa anataka kuibadili CHADEMA kutoka kuwa Chama cha Kiharakati na kuwa Chama cha Siasa jumuivu. Anayaendeleza yale ambayo Mh Lowassa, alikuwa akiyahubiri katika mikutano yake ya kisiasa alipopewa jukumu la Kuwa mgombea nafasi ya Uraisi kwa muunganiko wa Vyama kadhaa (UKAWA).

Lakini, sehemu kubwa ya Wanachama wa CHADEMA wana damu inayotokota kiharakati. Kwa wao, vyama vingine haswa CCM ni maadui wao. Na hapa ndipo ninapoona ugumu wa safari ya Mbowe katika kufanikisha hilo.

Hivi karibuni, ilisambaa video ya kaka (ndugu) wa Mh Heche akimkataza mwananchi mmoja kuingia katika kilinge chake cha kazi kwa sababu tu amevaa nguo ya Chama cha Mapinduzi. Wapo waliojitokeza kulaani.

Nilipitia baadhi ya Comments za wale ninaodhani ni wanachama ama wafuasi wa CHADEMA. Kwa hakika, wanaonyesha kufurahia jambo hilo na ipo chuki ya wazi juu ya wanachama wa vyama vingine vya kisiasa.

Sehemu kubwa ya Wanachama pamoja na viongozi, wana damu na ari ya kiharakati. Ni ngumi sana Mh Mbowe kuwabadilisha. Kelele zile za kusema Mh Mwenyekiti analamba asali zitazidi mara mia ya hapo awali.

Ni ama Mh Mbowe abadili mawazo yake ama aachie ngazi kwa damu nyingine.

Tupo hapa kusubiri.
OK
 
Nikisoma hotuba ya Mbowe iliyowekwa kwenye uzi wa Molemo, sioni popote palipofanya Mbowe aonekane amekosea, kwamba amewekwa mfukoni na Samia, bali ni mitazamo ya watu tu isiyo na maana, wenye kutaka mawazo yao binafsi kichwani, ndio yawe mawazo ya Mbowe.

Kuna hoja nyingi za msingi Mbowe amezungumza kama kiongozi mkomavu wa kisiasa, ikiwemo kuliunganisha taifa, kutoleta chuki [ hapa wale jamaa zangu wanaomshupalia Magufuli kila siku lazima wakasirike]

Tatizo naloliona kwa wanaopinga Mbowe alichozungumza, ni kumshukuru Samia kwa maridhiano, kwao hii ndio sababu inayowafanya waone Mbowe amelamba asali, anamsifia sana Samia.

Hawa wamesahau waliwahi kuyaomba maridhiano wakati wa Magufuli hawakupewa, na hawakumfanya chochote zaidi ya kumnunia tu, ajabu leo Mbowe kumshukuru aliyewapa maridhiano, wanamuona mjinga!

Hawa malofa hawakumbuki hata hii nafasi ya mkutano wa hadhara waliyopata, wakasikia mawazo ya viongozi wao, ni matunda ya maridhiano kati ya Rais na wapinzani, hawakumbuki Rais alipokataa mikutano, hakuna walichomfanya, na hawakuwa na uwezo huo!.
 
Wasalaam.

Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.

Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebaba dira na mwelekeo wa Chama hicho.

Katika hotuba hiyo, Mh Mbowe amesisitiza tuungane kama nchi pasivyo ya mgawanyo wa Vyama kuisukuma Tanzania mbele kuwa nchi yenye furaha na amani. Mwenyekiti huyo amesisitiza kuwa hatuwezi kugawana vipande vipande kwa minajili vya vyama vyetu vya kisiasa.

Kwa kumsikiliza tu, mtu mwenye akili anapata ufahamu kuwa Mbowe sasa anataka kuibadili CHADEMA kutoka kuwa Chama cha Kiharakati na kuwa Chama cha Siasa jumuivu. Anayaendeleza yale ambayo Mh Lowassa, alikuwa akiyahubiri katika mikutano yake ya kisiasa alipopewa jukumu la Kuwa mgombea nafasi ya Uraisi kwa muunganiko wa Vyama kadhaa (UKAWA).

Lakini, sehemu kubwa ya Wanachama wa CHADEMA wana damu inayotokota kiharakati. Kwa wao, vyama vingine haswa CCM ni maadui wao. Na hapa ndipo ninapoona ugumu wa safari ya Mbowe katika kufanikisha hilo.

Hivi karibuni, ilisambaa video ya kaka (ndugu) wa Mh Heche akimkataza mwananchi mmoja kuingia katika kilinge chake cha kazi kwa sababu tu amevaa nguo ya Chama cha Mapinduzi. Wapo waliojitokeza kulaani.

Nilipitia baadhi ya Comments za wale ninaodhani ni wanachama ama wafuasi wa CHADEMA. Kwa hakika, wanaonyesha kufurahia jambo hilo na ipo chuki ya wazi juu ya wanachama wa vyama vingine vya kisiasa.

Sehemu kubwa ya Wanachama pamoja na viongozi, wana damu na ari ya kiharakati. Ni ngumi sana Mh Mbowe kuwabadilisha. Kelele zile za kusema Mh Mwenyekiti analamba asali zitazidi mara mia ya hapo awali.

Ni ama Mh Mbowe abadili mawazo yake ama aachie ngazi kwa damu nyingine.

Tupo hapa kusubiri.

..uanaharakati wa Cdm utafifia ikiwa serikali na vyombo vya dola wataacha kuwanyanyasa na kuwadhalilisha wafuasi na wanachama wa chama hicho.
 
Nikisoma hotuba ya Mbowe iliyowekwa kwenye uzi wa Molemo, sioni popote palipofanya Mbowe aonekane amekosea, kwamba amewekwa mfukoni na Samia, bali ni mitazamo ya watu tu isiyo na maana, wenye kutaka mawazo yao binafsi kichwani, ndio yawe mawazo ya Mbowe.

Kuna hoja nyingi za msingi Mbowe amezungumza kama kiongozi mkomavu wa kisiasa, ikiwemo kuliunganisha taifa, kutoleta chuki [ hapa wale jamaa zangu wanaomshupalia Magufuli kila siku lazima wakasirike]

Tatizo naloliona kwa wanaopinga Mbowe alichozungumza, ni kumshukuru Samia kwa maridhiano, kwao hii ndio sababu inayowafanya waone Mbowe amelamba asali, anamsifia sana Samia.

Hawa wamesahau waliwahi kuyaomba maridhiano wakati wa Magufuli hawakupewa, na hawakumfanya chochote zaidi ya kumnunia tu, ajabu leo Mbowe kumshukuru aliyewapa maridhiano, wanamuona mjinga!

Hawa malofa hawakumbuki hata hii nafasi ya mkutano wa hadhara waliyopata, wakasikia mawazo ya viongozi wao, ni matunda ya maridhiano kati ya Rais na wapinzani, hawakumbuki Rais alipokataa mikutano, hakuna walichomfanya, na hawakuwa na uwezo huo!.
Mimi nilikuwapo mkutanoni hakuna la maana alilosema zaidi ya kumsifia saa100 mwanzo mwisho paka wanachama kindakindaki tumechana kadi hadharani na kuondoka mkutano. Hopeless kabisaa
 
Wasalaam.

Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.

Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho.

Katika hotuba hiyo, Mh Mbowe amesisitiza tuungane kama nchi pasivyo ya mgawanyo wa Vyama kuisukuma Tanzania mbele kuwa nchi yenye furaha na amani. Mwenyekiti huyo amesisitiza kuwa hatuwezi kugawana vipande vipande kwa minajili vya vyama vyetu vya kisiasa.

Kwa kumsikiliza tu, mtu mwenye akili anapata ufahamu kuwa Mbowe sasa anataka kuibadili CHADEMA kutoka kuwa Chama cha Kiharakati na kuwa Chama cha Siasa jumuivu. Anayaendeleza yale ambayo Mh Lowassa, alikuwa akiyahubiri katika mikutano yake ya kisiasa alipopewa jukumu la Kuwa mgombea nafasi ya Uraisi kwa muunganiko wa Vyama kadhaa (UKAWA).

Lakini, sehemu kubwa ya Wanachama wa CHADEMA wana damu inayotokota kiharakati. Kwa wao, vyama vingine haswa CCM ni maadui wao. Na hapa ndipo ninapoona ugumu wa safari ya Mbowe katika kufanikisha hilo.

Hivi karibuni, ilisambaa video ya kaka (ndugu) wa Mh Heche akimkataza mwananchi mmoja kuingia katika kilinge chake cha kazi kwa sababu tu amevaa nguo ya Chama cha Mapinduzi. Wapo waliojitokeza kulaani.

Nilipitia baadhi ya Comments za wale ninaodhani ni wanachama ama wafuasi wa CHADEMA. Kwa hakika, wanaonyesha kufurahia jambo hilo na ipo chuki ya wazi juu ya wanachama wa vyama vingine vya kisiasa.

Sehemu kubwa ya Wanachama pamoja na viongozi, wana damu na ari ya kiharakati. Ni ngumu sana Mh Mbowe kuwabadilisha. Kelele zile za kusema Mh Mwenyekiti analamba asali zitazidi mara mia ya hapo awali.

Ni ama Mh Mbowe abadili mawazo yake ama aachie ngazi kwa damu nyingine.

Tupo hapa kusubiri.
Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019,Uchaguzi Mkuu 2020 na Wabunge 19 wa viti maalum ni sababu tosha kwa mwanachadema mwenye akili timamu au mtu yeyote menye akili timamu kuwa adui wa ccm.
 
Wasalaam.

Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.

Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho.

Katika hotuba hiyo, Mh Mbowe amesisitiza tuungane kama nchi pasivyo ya mgawanyo wa Vyama kuisukuma Tanzania mbele kuwa nchi yenye furaha na amani. Mwenyekiti huyo amesisitiza kuwa hatuwezi kugawana vipande vipande kwa minajili vya vyama vyetu vya kisiasa.

Kwa kumsikiliza tu, mtu mwenye akili anapata ufahamu kuwa Mbowe sasa anataka kuibadili CHADEMA kutoka kuwa Chama cha Kiharakati na kuwa Chama cha Siasa jumuivu. Anayaendeleza yale ambayo Mh Lowassa, alikuwa akiyahubiri katika mikutano yake ya kisiasa alipopewa jukumu la Kuwa mgombea nafasi ya Uraisi kwa muunganiko wa Vyama kadhaa (UKAWA).

Lakini, sehemu kubwa ya Wanachama wa CHADEMA wana damu inayotokota kiharakati. Kwa wao, vyama vingine haswa CCM ni maadui wao. Na hapa ndipo ninapoona ugumu wa safari ya Mbowe katika kufanikisha hilo.

Hivi karibuni, ilisambaa video ya kaka (ndugu) wa Mh Heche akimkataza mwananchi mmoja kuingia katika kilinge chake cha kazi kwa sababu tu amevaa nguo ya Chama cha Mapinduzi. Wapo waliojitokeza kulaani.

Nilipitia baadhi ya Comments za wale ninaodhani ni wanachama ama wafuasi wa CHADEMA. Kwa hakika, wanaonyesha kufurahia jambo hilo na ipo chuki ya wazi juu ya wanachama wa vyama vingine vya kisiasa.

Sehemu kubwa ya Wanachama pamoja na viongozi, wana damu na ari ya kiharakati. Ni ngumu sana Mh Mbowe kuwabadilisha. Kelele zile za kusema Mh Mwenyekiti analamba asali zitazidi mara mia ya hapo awali.

Ni ama Mh Mbowe abadili mawazo yake ama aachie ngazi kwa damu nyingine.

Tupo hapa kusubiri.
Dila ni kuchambana Kwa wananchi badala ya ndani ya chama du.bora msigwa na heche wameeleweka
 
Mbowe ana akili sana. Kwa mtazamo wangu leo wengi maadui wa chadema walitamani mbowe atukane serikali pamoja na huyo bibi yenu ili aingie kwenye matatizo na dola mambo yamekua tofauti. Mbowe anafanya siasa za kisayansi sana na kama mambo yataenda hivi InshaAllah 2025 tutaingia na tume huru ya uchaguzi pamoja na katiba mpya.
 
Dira gani?

Mbowe hotuba yake yote imejaa kumlaumu Magufuli.

Mbowe ana dira gani.

Nchi hii itakua haina matumaini kama inategemea watu kama Mbowe ndio watoe dira ya taifa.
 
Hili jambo linahitaji akili. Kuna watu wasiopenda haya maridhiziano walitaka Mbowe atukane ili wapate sababu ya kuhalilasha madai yao, kwamba rais alikosea kuruhusu hii mikutano. Jamani siasa inahitaji akili zaidi kuliko hisia.
 
Ukitaka kujua JF ni pro CHADEMA, angalia walivyoruhusu threads nyingi zinazozungumzia kitu kilekile, mkutano wa CHADEMA mwanza!
 
Siasa hubadilika kulingana na mazingira na muda, kwa sasa siasa za chuki na uanaharakati hazilipi, na hazitawezesha CDM ipate madaraka, kwanza wataishia kupuuzwa na watanzania wanaotaka chama komavu na tulivu kuongoza nchi na si vinginevyo,Mbowe yuko sahihi, mtamkubali baadaye amesema no fear no hate amewasaidieni kutoa mwelekeo.
 
Wasalaam.

Leo ilikuwa ni Ufunguzi wa Mikutano ya Hadhara kwa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), iliyofanyika uwanja wa Furahisha mkoani Mwanza.

Pamoja na mengine mengi, hotuba ya Mwenyekiti wa Chama, Mh Freeman Aikaeli Mbowe imebeba dira na mwelekeo wa Chama hicho.

Katika hotuba hiyo, Mh Mbowe amesisitiza tuungane kama nchi pasivyo ya mgawanyo wa Vyama kuisukuma Tanzania mbele kuwa nchi yenye furaha na amani. Mwenyekiti huyo amesisitiza kuwa hatuwezi kugawana vipande vipande kwa minajili vya vyama vyetu vya kisiasa.

Kwa kumsikiliza tu, mtu mwenye akili anapata ufahamu kuwa Mbowe sasa anataka kuibadili CHADEMA kutoka kuwa Chama cha Kiharakati na kuwa Chama cha Siasa jumuivu. Anayaendeleza yale ambayo Mh Lowassa, alikuwa akiyahubiri katika mikutano yake ya kisiasa alipopewa jukumu la Kuwa mgombea nafasi ya Uraisi kwa muunganiko wa Vyama kadhaa (UKAWA).

Lakini, sehemu kubwa ya Wanachama wa CHADEMA wana damu inayotokota kiharakati. Kwa wao, vyama vingine haswa CCM ni maadui wao. Na hapa ndipo ninapoona ugumu wa safari ya Mbowe katika kufanikisha hilo.

Hivi karibuni, ilisambaa video ya kaka (ndugu) wa Mh Heche akimkataza mwananchi mmoja kuingia katika kilinge chake cha kazi kwa sababu tu amevaa nguo ya Chama cha Mapinduzi. Wapo waliojitokeza kulaani.

Nilipitia baadhi ya Comments za wale ninaodhani ni wanachama ama wafuasi wa CHADEMA. Kwa hakika, wanaonyesha kufurahia jambo hilo na ipo chuki ya wazi juu ya wanachama wa vyama vingine vya kisiasa.

Sehemu kubwa ya Wanachama pamoja na viongozi, wana damu na ari ya kiharakati. Ni ngumu sana Mh Mbowe kuwabadilisha. Kelele zile za kusema Mh Mwenyekiti analamba asali zitazidi mara mia ya hapo awali.

Ni ama Mh Mbowe abadili mawazo yake ama aachie ngazi kwa damu nyingine.

Tupo hapa kusubiri.
Ni haki ya kikatiba kutoa maoni

Tumnaheshimu maoni na mtazamo wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom