- Thread starter
- #4,261
Yaa na wameshaanza kuweka fence eneo la chake chake na mswahiliNimepita maeneo ya mkuyuni pale karibu na magorofa ya reli watu wanavunja nyumba kupisha sgr
Yaa na wameshaanza kuweka fence eneo la chake chake na mswahiliNimepita maeneo ya mkuyuni pale karibu na magorofa ya reli watu wanavunja nyumba kupisha sgr
Katika vitu ambavyo sipendi viongozi wajisifie navyo ni madarasa na vitu vya Afya...Mama samia akijaga mwanza asimame buhongwa au igoma hyo ndo nafas ya kumbana mama tunataka barabara ya dual carriage kutoka mjini had usagara badala yake anaongelea madarasa na vituo vya afya
Hii mitaa uliyotaja unafananisha na mtaa gani ilemela? Nyumba inakuwa expensive kulingana na ubora wake.Ilemela maisha Ni expensive sana ...na usalama ni mdogo ,,,nilishawahi kaa mitaa ya Ghana pale sio Kwa wizi ule .vyumba expensive,vyakula ghali lakini nyamagana
Ukiwa na salary hata 150000 unaishi fresh na ndio maana watu wa Hali ya chini wanahamia sana milima ya nyamagana huku vyumba Hadi elfu 10 unapata
Igoma
,Igogo
Mkuyuni
Buhongwa
Mabatini
Mahina
Butimba
Mkolani
Mhandu
Mitaa hii ukishindwa kuishi basi mwanza huiwezi aisee
Sasa hawa si matajiri angalia Milima iliyojengwa na matajiri na iliojengwa na maskini.
Hata hapo capripoint kuna sehemu wamejenga maskini ni pa hovyo.
Kuna watu wanajenga nyumba wengine tunajenga sehemu za kujihifadhi.
, Dunia Dunia.
sio sawa ivo.Yaani Adam Malima hama vigezo gya kiwa mkuu wa mkoa mkubwa kama Mwanza! Huyo kabebwa na udini tu! Ana maneno mengi sana kuliko vitendo!Huyu taarabu ingemfaa kuliko siasa.
Hivi yule aliyekuwepo kaondolewa sababu gani, au ulokole ulimponza?
Huyo sima costantine yumo hapa kwwnye huu uzi😂😂😂Wale Mameya wetu Sima Constantine na Renatus Mulunga hawamo humu @jf?
Diwani kata ya mhandu ,,,kajenga lami ya kupita mlangoni kwake Bismarck pale.Huyo sima costantine yumo hapa kwwnye huu uzi![]()

nipo huwa nafuatilia mara nyingi wakitokea vichaa kama kina The Sunk Cost Fallacy wakipotosha tunawaweka kwenye mstari...Overland ndo Nani au ndo laizerg , mana wewe kama sikosei ulikuwa unatumia jina la Rock city mi nilikuwa natumia sirg ha haaaa, daah Ila hzi thread za Mwanza , tumetoka nazo mbali , kuna mwanangu Mkuu wa chuo , naye sjui alipoteleaga wapi , moja ya watu walipambana Sana kwenye thread za Mwanza Vs Arusha zile za mwanzo![]()
Hvi vijumba vilivyopo nyamanoro,kirumba milimani ,kitangiri,bigbite unaona ni standard auHii mitaa uliyotaja unafananisha na mtaa gani ilemela? Nyumba inakuwa expensive kulingana na ubora wake.
Igogo unakuta baadhi ya nyumba hazina hata plaster utapangisha kwa shilingi ngapi nyumba kama hiyo?
Ilemela ndio mandhari ya jiji la mwanza.Tukubali tukatae, Ilemela ndio taswira ya jiji la mwanza, ukikaa vizuri ukafikiria utagundua wakazi wa Ilemela wako tofauti Sana na nyamagana, watu wa Ilemela na kata zake wanaishi kishua kwelikweli ila sisi wa nyamagana ni holaa kabisa, ilemela yote imekaa kishua Sana kulinganisha na hii nyamagana anaebisha na abishe
Niunge kwa group la WhatsAppMimi nilikujulia skyscraper city tukaja humu na mwishowe watsap tuna group letu. Ni mpambanaji sana na Kuna kitu nilijifunz kwako. Hata kwenye huu Uzi Kuna vitu ulikuwa ukiturekebisha. Tunakushukru mkuu🙏🙏
Na mim piaNiunge kwa group la WhatsApp
Jambo zuri, asimamie vizuriMikakati ya mkuu wetu wa wilaya .bi makilagi .Kila mtaa unapewa miti 600 ipandwe milimani na kwenye barabara....View attachment 2375020
Ilemela ndio mandhari ya jiji la mwanza.
lazima iwepo tofauti kati ya sehem inayopokea watu kutoka Airport na sehem inayopokea watu kutoka Nyegezi bus stop
Sikutaka kulisema la udini ila ndio linambeba na ndio lilimuondoa aliyekuwepo.Yaani Adam Malima hama vigezo gya kiwa mkuu wa mkoa mkubwa kama Mwanza! Huyo kabebwa na udini tu! Ana maneno mengi sana kuliko vitendo!
Hii ni mitazamo tu ..tumpe muda kiongozi wetuSikutaka kulisema la udini ila ndio linambeba na ndio lilimuondoa aliyekuwepo.
Huyo hana lolote ngoja liende tu! Utakuja kuyaamini maneno yangu! Pia ujuaji mwingi sana! Hawa viongozi wanaoletwa kuongoza kimkakati kwa manufaa ya watawala wala sio wananchi!Hii ni mitazamo tu ..tumpe muda kiongozi wetu
Hapo Kwenye suala la Kuomba dual carriage wabunge wanajitahidi sema serikali inafanya feasibility study miaka nenda rudiHili suala lipo kwa viongozi wengi tu wakubwa, huwa hawana maamuzi kwa ajili ya miaka 30-50 mbele, Hata Arusha ile dual carriage wanayo ringia ni hekima z JPM the same to Ilemela. Daraja la Busisi, Ununuzi wa ndege mpya, ujenzi wa Airports nchi nzima. Kwa wabunge wetu wa Mwanza hakuna mbunge anayeweza kusimama kuomba dual carriage tu nyingine katikati ya jiji
Ila kuishi . mlimani ni kipaji Jamani. .ni tizi Moja ambalo huhitaji kwenda hata jimy au jogging...,,,,Ile tabu ya kupanda mlima hasa unapofata maji huko bondeni ,,,,,miaka hyo mwanza kulikuwa hamnaga mabomba mlimani , ilikuwa tabu tupu ,,,,enzi hzo nakaa mahina kambarage karibu na mkuyuni ule mlima sio ulitaka kunitoa meno siwez sahau ...serikali sa hv wamejitahid kupandisha maji mlimani ..Mitaa ya huko kirumba . ilemela..ni tabu tupu.huyu mwanasiasa anatembelea wajumbe wakeView attachment 2375199
..mim kiwanja Cha mlimani kwenye mawe hapana ..maybe iwe milima yenye tambalale juu kama palivyo nyegezi majengo,au mabomba nne kule