Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kumbe unaangalia eneo dogo tu la kirumba milimani mimi nakupinga kabisaa kirumba ipo juu kuliko kata zote za nyamagana ukiacha kata za cbd, kuna kila aina ya maisha hapo kirumba kuanzia masikini, watu wakaida na matajiri, kirumba ina kila facilities kuanzia mall, uwanja wa mpira wa miguu, n.k pia ni eneo ambalo lipo planned toka zamani za kale, kirumba ndio kiini cha starehe zote jiji la mwanza
Umesema kweli kabisa, na kirumba haina vumbi
 
Kumbe unaangalia eneo dogo tu la kirumba milimani mimi nakupinga kabisaa kirumba ipo juu kuliko kata zote za nyamagana ukiacha kata za cbd, kuna kila aina ya maisha hapo kirumba kuanzia masikini, watu wakaida na matajiri, kirumba ina kila facilities kuanzia mall, uwanja wa mpira wa miguu, n.k pia ni eneo ambalo lipo planned toka zamani za kale, kirumba ndio kiini cha starehe zote jiji la mwanza
mi siongelei facilities..Nazungumzia aina ya makazi ya hapo kiyungi, kabuhoro,kigoto,magomeni , kitangiri,nyamanoro,Ghana,kuja bigbite...
Ukisema utaje facilities mi nitakutajia nyegezi ambako Kuna stendi,chuo kikuu, taasisi za utafiti ,n.k .
 
Kumbe unaangalia eneo dogo tu la kirumba milimani mimi nakupinga kabisaa kirumba ipo juu kuliko kata zote za nyamagana ukiacha kata za cbd, kuna kila aina ya maisha hapo kirumba kuanzia masikini, watu wakaida na matajiri, kirumba ina kila facilities kuanzia mall, uwanja wa mpira wa miguu, n.k pia ni eneo ambalo lipo planned toka zamani za kale, kirumba ndio kiini cha starehe zote jiji la mwanza
Au utajiwe igoma nyakato ambako viwanda vyote vikubwa viko hapo ..au igogo ambako Kuna factories na hospital kubwa Kanda ya ziwa ....uzuri ni kwamba nyamagana Iko diversity Kila mtaa una facilities kubwa
 
Nipo buhongwa center kabisa karibu na chuo cha veta
Sasa buhongwa kwanza Inaitwa periurban ..ni maeneo yanayoendelea huwezi fanyia judgement..ukitaka nifanyie judgement maeneo kama hayo mi nitaiangalia kahama kule buswelu kulivyo na mavumbi
 
Oya toeni habari ya nyamagana vs ilemela itawapa credit maadui. Sisi tujadili fursa zilizopo mkoa wa mwanza kwa ujumla tukiangazia zaidi Jiji na manispaa ya ilemela kwani ndo milango ya yoyote ajae mwanza
Ni saw kabisa . ...hatubishani ila tunajaribu kufanya comparison na kujua wapi panafaa kufanyiwa marekebisho Zaid
 
Fiesta Mwanza
20221002_181620.jpg
 
Ni saw kabisa . ...hatubishani ila tunajaribu kufanya comparison na kujua wapi panafaa kufanyiwa marekebisho Zaid
Tusitume picha mbovu image ya Uzi itaharibika🤣🤣🤣🤣🤣
 
Oya toeni habari ya nyamagana vs ilemela itawapa credit maadui. Sisi tujadili fursa zilizopo mkoa wa mwanza kwa ujumla tukiangazia zaidi Jiji na manispaa ya ilemela kwani ndo milango ya yoyote ajae mwanza
Huwezi amini haka ka ubishi kameniongezea vitu kichwani, sometimes let's agree to disagree
 
Nipo buhongwa center kabisa karibu na chuo cha veta
Nyamagana residential area nzuri ni capripoint, mwananchi, isamilo na nera pengine pakawaida tu, lakini ilemela ni simba wa maeneo bora hapa Tanzania kama, bwiru, nyasaka, pasiansi, lumala😍😍, kiseke, ilemela, malaika area, kirumba, nyamhongolo, mecco, nundu, kangaye, buzuruga na buswelu nenda hayo maeneo kalinganishe na utopolo wa nyamagana na hayo maeneo ya ilemela yamepitiwa na lami safi standard hakika ilemela ni taswira ya makazi bora hapa Tanzania.
 
Sawa
Oya toeni habari ya nyamagana vs ilemela itawapa credit maadui. Sisi tujadili fursa zilizopo mkoa wa mwanza kwa ujumla tukiangazia zaidi Jiji na manispaa ya ilemela kwani ndo milango ya yoyote ajae mwanza
Sawa man lkn Ilemela kimakazi huwezi kulinganisha na popote mkuu.
 
Back
Top Bottom