Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Ukishapima viwanja low density ( 1200+ sqm ) ni ngumu kuwa na uswahilini sana, maana hakuna mbanano was nyumba.

Na sasa hivi, kidogo watu wengi wameelimika hawataki squatters.
Yeah, Nyamagana huwa nasema ni kama imejaa tofauti na Ilemela karibia 45% ya aridhi haijawa occupied kama Nyamagana. Nafasi ya kupangika kisasa ni kubwa labda tu viongozi wetu walale usingizi.
 
Swala la kuondoa nyumba milimani siliafiki mkuu maana hata izo nyumba zikijegwa vzuri milimani zinavutia na kuliletea jiji mwonekano wa kipee..kichua mfano wa Bravary hills/HOLLYWOOD HILLS marekani mbona kunavutia sana tuu na huko Mwanza kuna sehem inaitwa capripoint mbona kumejegwa vizuri sa assum kote mwanza milimani kungejenywa kwa mifumo rasmi kungependeza sana.
Kaka tusidanganyane, milimani ni matajiri wanapaweza huko sio kila mtu aishi milimani hata kama huna uwezo.
Milima mingine haitakiwi kujengwa kabisa ipandwe miti kama Balewa au Bwiru
 
Ndio maana Kama huwa unapanda daladala, ukiwa route za mitaa ya Ilemela hutowahi kusikia kilugha eg. Kisukuma, kikerewe kiha etc kwenye usafiri, panda sasa route za nyamagana utachoka, yani ni Kama vile umepanda gari za kwenda maswa simiyuu
Nimecheka balaa 🤣🤣🤣
 
Ukishapima viwanja low density ( 1200+ sqm ) ni ngumu kuwa na uswahilini sana, maana hakuna mbanano was nyumba.

Na sasa hivi, kidogo watu wengi wameelimika hawataki squatters.
Kupima high density waache,
Viwanja high density vyote wapewe nhc na makampuni mengine yanayojenga nyumba yajenge maghorofa.
Tuachane kabisa na high density ya nyumba za chini.
 
Ndio maana Kama huwa unapanda daladala, ukiwa route za mitaa ya Ilemela hutowahi kusikia kilugha eg. Kisukuma, kikerewe kiha etc kwenye usafiri, panda sasa route za nyamagana utachoka, yani ni Kama vile umepanda gari za kwenda maswa simiyuu
Hvi Kuna maeneo yanaongea kilugha kupita haya
Kahama,
Shibula
Nyamhongolo
Kirumba (wakerewe na Waha Tena pale sokoni )
buswelu
Igombe (wajita,wasukuma na wakurya)
Ilalila kuelekea huko ..
........mim sitetei nyamagana but kunambia ilemela iko na city vibe kuliko nyamagana nakataa ...
nyamagana ukiacha maeneo ya buhongwa, kishiri na igoma .. kuliko Baki ni wajanja na wilaya nzuri na cheap kuanzia maisha
 
Flyover ndio habari ya mjini
Flyover brother hazijengwi kupendezesha jiji .. zinajengwa maalumu kurahisisha usafiri katika makutano au barabara zilizozidiwa na magari .. ..Kwa hyo unapoomba flyover lazima ubainishe ni wapi ziwekwe ...Kigali , Kampala zenyewe sidhani kama Kuna flyover
 
Hapana mkuu ila ukweli usemwe nadhani viongozi na watu wa Ilemela wanajitambua kidogo, the place is very neat na ina umandhari wa jiji

Mimi ni mkazi wa nyamagana
Ilemela maisha Ni expensive sana ...na usalama ni mdogo ,,,nilishawahi kaa mitaa ya Ghana pale sio Kwa wizi ule .vyumba expensive,vyakula ghali lakini nyamagana
Ukiwa na salary hata 150000 unaishi fresh na ndio maana watu wa Hali ya chini wanahamia sana milima ya nyamagana huku vyumba Hadi elfu 10 unapata

Igoma
,Igogo
Mkuyuni
Buhongwa
Mabatini
Mahina
Butimba
Mkolani
Mhandu
Mitaa hii ukishindwa kuishi basi mwanza huiwezi aisee
 
Ilemela eneo ambalo nalikubali ni nyasaka na buswelu tu .. kwingine hapana aisee ..
 
Hvi Kuna maeneo yanaongea kilugha kupita haya
Kahama,
Shibula
Nyamhongolo
Kirumba (wakerewe na Waha Tena pale sokoni )
buswelu
Igombe (wajita,wasukuma na wakurya)
Ilalila kuelekea huko ..
........mim sitetei nyamagana but kunambia ilemela iko na city vibe kuliko nyamagana nakataa ...
nyamagana ukiacha maeneo ya buhongwa, kishiri na igoma .. kuliko Baki ni wajanja na wilaya nzuri na cheap kuanzia maisha
Flyover brother hazijengwi kupendezesha jiji .. zinajengwa maalumu kurahisisha usafiri katika makutano au barabara zilizozidiwa na magari .. ..Kwa hyo unapoomba flyover lazima ubainishe ni wapi ziwekwe ...Kigali , Kampala zenyewe sidhani kama Kuna flyover
Kampala wanajenga
 
Ilemela maisha Ni expensive sana ...na usalama ni mdogo ,,,nilishawahi kaa mitaa ya Ghana pale sio Kwa wizi ule .vyumba expensive,vyakula ghali lakini nyamagana
Ukiwa na salary hata 150000 unaishi fresh na ndio maana watu wa Hali ya chini wanahamia sana milima ya nyamagana huku vyumba Hadi elfu 10 unapata

Igoma
,Igogo
Mkuyuni
Buhongwa
Mabatini
Mahina
Butimba
Mkolani
Mhandu
Mitaa hii ukishindwa kuishi basi mwanza huiwezi aisee
Sasa makazi ya Ilemela yana nyumba nzuri lazima yawe expensive.
Mabatini ulinganishe na Buswelu, mbingu na ardhi
 
Kaka tusidanganyane, milimani ni matajiri wanapaweza huko sio kila mtu aishi milimani hata kama huna uwezo.
Milima mingine haitakiwi kujengwa kabisa ipandwe miti kama Balewa au Bwiru

Sijasema miliamani wakae masikini au matajiri ilo ni swala la uongozi tuu then kama ni masikini au tajili mwenye uwezo wa kuafford sherila zilizowekwa ndo ataishi, nachongelea ni kuweka utaratibu tuu na ujengaji holela ukatazwe huko mbona dodoma kumewezekana kwa kias kikubwa tuu.

Alafu unaposema milima mingine iachwe na ipandwe miti hii hoja yako niitaikubali kwamsingi wa maendeleo ya mazingira ila nitaikataa kama iyo sehemu inamazingira rafiki ya watu kujenga basi kwakujali mazingira ya asili ya iyo sehemu.

Kuishi hakumaanishi ndo mtu haribu mazingira na kutoa watu milimani na kuacha mawe ndo kutaleta watalii au kuvutia big no chamsingi kabla ya kuamua nyuma kuwepo na factor za msingi sio kufanywe tu kwa kukalili na mihemko.
IMG_6579.jpg

Hii sehem mbona imejengwa na imeleta tija ma maana kwa wakazi na mazingira hayajahalibiwa assum kama kungeachwa pori tuu kisa mazingira na mawe yaonekane.
 
Sijasema miliamani wakae masikini au matajiri ilo ni swala la uongozi tuu then kama ni masikini au tajili mwenye uwezo wa kuafford sherila zilizowekwa ndo ataishi, nachongelea ni kuweka utaratibu tuu na ujengaji holela ukatazwe huko mbona dodoma kumewezekana kwa kias kikubwa tuu.

Alafu unaposema milima mingine iachwe na ipandwe miti hii hoja yako niitaikubali kwamsingi wa maendeleo ya mazingira ila nitaikataa kama iyo sehemu inamazingira rafiki ya watu kujenga basi kwakujali mazingira ya asili ya iyo sehemu.

Kuishi hakumaanishi ndo mtu haribu mazingira na kutoa watu milimani na kuacha mawe ndo kutaleta watalii au kuvutia big no chamsingi kabla ya kuamua nyuma kuwepo na factor za msingi sio kufanywe tu kwa kukalili na mihemko.View attachment 2375009
Hii sehem mbona imejengwa na imeleta tija ma maana kwa wakazi na mazingira hayajahalibiwa assum kama kungeachwa pori tuu kisa mazingira na mawe yaonekane.
Sasa hawa si matajiri angalia Milima iliyojengwa na matajiri na iliojengwa na maskini.
Hata hapo capripoint kuna sehemu wamejenga maskini ni pa hovyo.
Kuna watu wanajenga nyumba wengine tunajenga sehemu za kujihifadhi.
 
View attachment 2375009
Hii sehem mbona imejengwa na imeleta tija ma maana kwa wakazi na mazingira hayajahalibiwa assum kama kungeachwa pori tuu kisa mazingira na mawe yaonekane.
[/QUOTE]

Kwenye hiyo picha angalia upande wa igogo kulivyo hovyo,
Kungejengwa vizuri au kupanda miti hio View ingekuwa mataa sana.
 
Mikakati ya mkuu wetu wa wilaya .bi makilagi .Kila mtaa unapewa miti 600 ipandwe milimani na kwenye barabara....
20221002_181506.jpg
 
Ndio maana Kama huwa unapanda daladala, ukiwa route za mitaa ya Ilemela hutowahi kusikia kilugha eg. Kisukuma, kikerewe kiha etc kwenye usafiri, panda sasa route za nyamagana utachoka, yani ni Kama vile umepanda gari za kwenda maswa simiyuu
Nafikiri sababu ya Ilemela kutokuwa na vitu hivyo ulivyotaja ni kwa sababu ni mji una wageni wengi kuliko wenyeji na ndio unajengwa, na wageni wengi ndio wananunua huko
 
Back
Top Bottom