Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hapo Kwenye suala la Kuomba dual carriage wabunge wanajitahidi sema serikali inafanya feasibility study miaka nenda rudi
At the same time hiyohoyo serikali inakuwa inajiwekea malengo ya kukusanya matrilioni ya kodi sasa hayo mapato yanaongezekaje bila miundombinu rafiki?
 
Tazama hiyo nyumba kwa nyuma japo ni mliman lkn ni standard, kirumba unataka kuilinganisha na kata gani huko Nyamagana ukitoa kata za cbd.
Ina ustandard gan .hv kaka ulishawahi kupanda .milima ya pale kirumba na Ghana ukajionea Hali ilivyo ..ni uswazi mtupu .na nyamagana ukitoa mabatini,igogo ,mbugani,Na mkuyuni . maeneo yaliyobaki yako vizuri tu ..
 
Huyo sima costantine yumo hapa kwwnye huu uzi😂😂😂
Ndo achukue mazuri ya humu akayafanyie kazi, Mimi binafsi namwimini sana kama kijana mwenye exposure kubwa ila namshauri wenzie wasimvute sana kwenye siasa za kuongea ongea bila tija.
 
Mnataka kulinganisha nyumba a Kirumba na Igogo/ Bugarika? 😛
Bugarika si huku..Kuna uswazi gani
JamiiForums631258185.jpg
View attachment 2375209
 
Ina ustandard gan .hv kaka ulishawahi kupanda .milima ya pale kirumba na Ghana ukajionea Hali ilivyo ..ni uswazi mtupu .na nyamagana ukitoa mabatini,igogo ,mbugani,Na mkuyuni . maeneo yaliyobaki yako vizuri tu ..
Mkolani, igoma, butimba, buhongwa
 
Aisee nipo mv Victoria hapa kazi tu humo ndani balaa kuna restaurant za hatar viwanja balaa cjui burigi chato cjui ile meli ikikamilika si itakuwa balaa na utalii tosha abiria ni wengi sana kwny meli
Unaenda bukoba nini
 
Ina ustandard gan .hv kaka ulishawahi kupanda .milima ya pale kirumba na Ghana ukajionea Hali ilivyo ..ni uswazi mtupu .na nyamagana ukitoa mabatini,igogo ,mbugani,Na mkuyuni . maeneo yaliyobaki yako vizuri tu ..
Kumbe unaangalia eneo dogo tu la kirumba milimani mimi nakupinga kabisaa kirumba ipo juu kuliko kata zote za nyamagana ukiacha kata za cbd, kuna kila aina ya maisha hapo kirumba kuanzia masikini, watu wakaida na matajiri, kirumba ina kila facilities kuanzia mall, uwanja wa mpira wa miguu, n.k pia ni eneo ambalo lipo planned toka zamani za kale, kirumba ndio kiini cha starehe zote jiji la mwanza😍😍😍
 
Back
Top Bottom