Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,157
- 6,163
Kabisa, Mkuu wacha tuone hii miradi iliyopo ikikamilika kama tutapata mega projects zingine za serikaliSerikali ya awamu ya 6 bado hawajaitendea mwanza haki yake inayostahili
Kabisa, Mkuu wacha tuone hii miradi iliyopo ikikamilika kama tutapata mega projects zingine za serikaliSerikali ya awamu ya 6 bado hawajaitendea mwanza haki yake inayostahili
mirad ya nhc inapelekwa Dar na dodomaKabisa, Mkuu wacha tuone hii miradi iliyopo ikikamilika kama tutapata mega projects zingine za serikali
Shida mapato, TRA wanataka chao tena kutokana na.ukubwa wa Tangazo ni pesa ndefu wanalipa. Ndio maana kuna kipindi baadhi ya Gari za TBL au Bakhresa waliondoa matangazo kutokana na gharama za tangazo.ilemela nao wanachonishangaza lile bati la mwaloni wameshdwa kulipiga tena Rangi nzur wakaandika yale maandishi ya balimi vzur![]()
😄😄😄 Kuna bohari pale vile vijumba vya Airtel ndo maana tunataka upanuzi wa njia nne ili vile vimakaz uchwara vya barabaran viondokeHili jiji la mwanza Kuna maeneo yanakasirisha Sana ukiwa unapita mpaka unajiuliza hamna mipango mizuri ya kuyaboresha kwamba yatabaki hivyohivyo miaka yote mfano wa hayo maeneo ni
1.buhongwa
2.mkolani
3.mkuyuni
4.butimba
5.igogo milimani
Aisee haya maeneo yanakera mno, ni machafu, vumbi, majengo yamechoka na yamechakaa mnoo.
Pia Kuna lile eneo linaitwa mitatu baada ya mswahili pale wanapoanika dagaa, jamani hivi imekosekana namna nyingine ya kuwataftia waanika dagaa eneo jingine!? Aisee pananuka mnooo na ndo lango la kuingilia mjini Kati hivi tupo serious kweli?
Mwisho, aliejenga barabara ya Saut kuelekea huko luchelele ni mpumbavu ( najua ni tarura) ila umefanyika upumbavu Sana pale kwenye hiyo kilometer moja Bora hizo hela zote zingeishia kwenye matumbo yao kuliko kutengeneza ule ujinga
Miji yetu lazima iwe inclusive, ni ujinga eti makazi yawe Bora kabisa halafu watu wanapopata huduma pawe pa ajabuajabu na by the way hapo barabarani ndio taswira ya kata husikaBuhongwa ni pale barabaran ila ukiingia ndanindan kuna nyumba za kufuru balaa
Kuna bohari pale vile vijumba vya Airtel ndo maana tunataka upanuzi wa njia nne ili vile vimakaz uchwara vya barabaran viondoke

na ile mitaa wanayotengeneza Pemba unapazungumziajeUkipita buhongwa asubuh unasema hili ni li centre gn ila pita jion kama kariakoo ila ukienda nyakagwe,bulale,nyanembe,buguku,nyangwi kuna majumba mazur balaa af lile jengo la ccm buhongwa la gorofa la njano ni la kijinga sana😄😄Miji yetu lazima iwe inclusive, ni ujinga eti makazi yawe Bora kabisa halafu watu wanapopata huduma pawe pa ajabuajabu na by the way hapo barabarani ndio taswira ya kata husika
Hao watatoka barabara ikipanuliwa pamoja na reli 😄😄😄na ile mitaa wanayotengeneza Pemba unapazungumziaje
Enhee ona hiko kighorofa cha njano yani dahUkipita buhongwa asubuh unasema hili ni li centre gn ila pita jion kama kariakoo ila ukienda nyakagwe,bulale,nyanembe,buguku,nyangwi kuna majumba mazur balaa af lile jengo la ccm buhongwa la gorofa la njano ni la kijinga sana![]()


safari bado tunayo ndefu ndugu zanguNikisikia hivi naona sijapotea sana, maana na Mimi nimepata Kiwanja Busenga huko.Nilikuwa nyamagana, soon nahamia Ilemela(kiseke B) na Mimi nionje ladha ya jiji nimechokwa kupigwa vumbi