Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Hapana laizerg sio overland, yupo huwa anatokea mara moja moja kwa Jina jingine.Overland ndo Nani au ndo laizerg , mana wewe kama sikosei ulikuwa unatumia jina la Rock city mi nilikuwa natumia sirg ha haaaa, daah Ila hzi thread za Mwanza , tumetoka nazo mbali , kuna mwanangu Mkuu wa chuo , naye sjui alipoteleaga wapi , moja ya watu walipambana Sana kwenye thread za Mwanza Vs Arusha zile za mwanzo 😁😁
Sirg nakukumbuka.