Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,122
- 6,335
Hapo kinachowafanya walie ni kwamba walizowea kufanya biashara na kuingiza kipato kikubwa bila kulipa kodi huku wakibebwa na lile jina la wanyonge lakini ukweli wengi wao ni wafanyabishara wanaostahili kulipa kodi,sasa wachukue fremu maeneo ya biashara wafanye biashara walipe kodi hakuna janja janja tena.