Mwanza: Bomoabomoa yaacha Machinga na vilio

Hapo kinachowafanya walie ni kwamba walizowea kufanya biashara na kuingiza kipato kikubwa bila kulipa kodi huku wakibebwa na lile jina la wanyonge lakini ukweli wengi wao ni wafanyabishara wanaostahili kulipa kodi,sasa wachukue fremu maeneo ya biashara wafanye biashara walipe kodi hakuna janja janja tena.
 
Hapa ni pale walipokuwa wanabomoa mabanda yao kwenye maeneo yaliyokatazwa.

Sikufurahishwa na Wamachinga kuzagaa kila mahali, lakini kilio chao kimenisikitisha sana...
YAANI WEWE MTOA MADA HUNA AKILI TIMAMU MTU KAAMIWA AHAME KAPEWA MUDA WA KUHAMA MPAKA ANAKUJA KUBOMOLEWA BADO UNAMHURUMIA?

SI ALIKUWA ANAIJARIBU SERIKALI KWANI HAWAKUAMBIWA WAHAME? WANATAKA HURUMA KWA UBISHI WAO?
 
Imekuuma ehh?we c ndo ccm kindakindaki sasa kula jeuri yakooo..wakt wanapitisha wabunge wote wa ccm mlisheherkea hadi na ng'ombe zikachichwaa....majina yote mabaya mkawapa wapinzani..sasa leo limekufika mmachinga mmoja ww unaanza kuuona umuhimu wa upinzanii...unataka hizo kelele waje kupigia kibarazan kwako?pambanana hali yako
Uelewa wake ni mdogo sana, Platform ya wapinzani kulisemea hili ni ipi kwa sasa? Awatengenezee jukwaa juu ya banda lake la umachinga halafu awatafutie ulinzi wasikamatwe na polisi. Wanadhani kuwa mpinzani wa kweli nchi hii ni jambo la mchezo.
 
Sijui niwe upande upi ila rehema za MUNGU ziwe juu ya wote
1. Watoto wa machinga wanaitaji kula
2.Watoto wa wenye fremu wanaitaji kula pia
3.Serikali inataka Kodi na ushuru na wenye fremu ndio walipaji
4.Machinga kapanga bidhaa mbele ya mwenye fremu
5.Magari hayana njia Wala parking kisa machinga hence wenye magari hawawezi kununua kwenye fremu
 
Uelewa wake ni mdogo sana, Platform ya wapinzani kulisemea hili ni ipi kwa sasa? Awatengenezee jukwaa juu ya banda lake la umachinga halafu awatafutie ulinzi wasikamatwe na polisi. Wanadhani kuwa mpinzani wa kweli nchi hii ni jambo la mchezo.
Hahahaa!hilo banda washaling'oa tayari haitowezkanaa...kilichopo atulie tu dawa imuingiee...walijiona sanaa kpnd cha mzee..sasa wanavuna walichopanda
 
Hivi vyama vya upinzani viko wapi kwenye hii issue?? hapo ndio unagundua upinzani wa bongo ni zero kabisa. Sasa mpaka wamsubiri huyo mkimbizi wao alieko belgium aone kwa video ndio halafu aombe interview bbc au deutsche welle. Upinzani bongo mavi kabisa na hautashika dola milele, maana issue ya wamachinga ingewajazia kura...
Weka siasa kando
 
Machinga zaidi ya 5,000 waliopo katika eneo la Makoroboi jijini Mwanza licha ya kutii agizo la Mkuu wa Mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel la kuwataka kupisha katika eneo hilo wamemlilia Rais Samia kwani wamevunja vibanda vyao na hawana eneo mbadala la kufanyia biashara zao.

KILIO WEB.jpg

Mmoja wa machinga akilia mara baada ya kuvunja kibanda chake

Machinga hao ambao walioamua kutii agizo hilo huku wakisema hawajui wapi wanaelekea baada ya maeneo waliyopangiwa kujaa, kilio chao wanakielekeza kwa Rais Samia Suluhu Hassan.

Hapo jan Mkuu wa Mkoa huo Mhandisi Robert Gabriel jana Oktoba 21, 2021, alitoa muda wa saa 24 kwa wafanyabiashara ndogo ndogo wa eneo hilo kuondoka na kwenda kwenye maeneo rasmi waliyotengewa.
 
wawe wavumilivu serikali katili ya CCM itafyeka pori na kuwapeleka huko wakafanye biashara.
Usiseme katili sema serikali ya watu inayowasikiliza watu wake inampango endelevu , uko kwenye hatua ya upempuzi yakinifu, watapata eneo labda karibu na ziwa waendelee na shughuli zao.

LAKINI BWANA YULEE ALISEMA WAKATI WA JK, HILI NI BOMU KAMA TAIFA HALITAKUWA MAKINI. SASA WAKATI UNANYEMELEAQ KWA SPIDI YA MWANGA.
 
Back
Top Bottom