Ninasikiliza vichwa vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna Makinda kwa urais 2015.
----------------------
My Take:
Uraisi sasa imekuwa ni JOKE na inaonekana kila mtu anaweza kuwa rais wa Tanzania. Inaelekea nchi hii haina hata JOB DESCRIPTION YA URAIS
Tatizo siyo mwandosya,kumbukumbu zinaonesha wakati anatoka kwenye matibabu india alipewa home rest angalau ya miaka miwili lakini badala yake alipofika tz akapewa state rest kwa hiyo tuweni wavumilivu na maneno yake.
Hah ha ha ha! sina mbavu za kuumiza kwa kucheka japo huo ndo ukweli. Yaani kwa stail hii mama yangu akachukue form ya kugombea uraisi 2015. Kweli in Tanzania anyting is possible!kichekesho!!!!
kwa gharama yoyote ile itakavyokuwa lazima nimtafutie bibi yangu nae ajaze fomu hiyo ya kutafuta urais.
kumbe magogoni ni kweupe kiasi hicho!
hatafutwi mkata kuni wewe kama shoka ndo aende place of dormicile kuna miti ya mbao kule!!!!
Anatafutwa rais wa nchi bhana hao hapo mjengoni chini ya elfu wanamtoa jasho na misheria ya kuwabana anayo ndo ataweza hili dambwe lote!!!!!
Makinda ni mwanamke wa shoka, we utabaki na wivu wako hapo
Msameheni bure mzee prof wa watu!!! He is sick.
Kuna gamba mmoja (sikumbuki nani) alisema hawa ni wazee wanasubiri kufa!!!!!