Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

Mwandosya: Makinda anafaa kuwa rais 2015!

Tuacheni mzaha na taasisi ya urais! Manake sisi ni watu wa mizaha hata pasipostahili - Bungeni! Kwa hali ya dunia ilivyo, EAC, SADC, religious extremism, poverty, hali ya kisiasa ndani ya nchi, hali ya uchumi wetu, kilimo, umasikini, n.k. tunahitaji someone who is very very strong than ever.

Ujinga tulijizoelesha wa sasa ni zamu ya mwanamke; ni zamu ya mzanzibari, ni zamu ya mkiristo, ni zamu ya Kusini, ni zamu ya kijana, n.k. unapaswa kufika mwisho bila kujali anatoka wapi, dini gani, kabila gani, au hata chama gani, n.k.
 
Hawa wote uliowataja wanastahili kuwa viongozi wakuu wa nchi kama Tanzania tungefikia kiwango cha juu cha demokrasia. hata hao Marekani ambao wanajinasibu kuwa viranja wa demokrasia duniani hawajawahi kuwa na Rais Mwanamke. Ni hivi majuzi tu wamembania Hillary Clinton japo alikuwa na sifa zote
 
Maneno haya angesema Mwakyembe ningeyahusisha na lile shambulio la sumu lililomnyonyoa nywele kipindi kile, sasa Mwandosya sijui ni uzee au katumwa kuimaliza CCM, sijui!
 
Kweli uzee taabu hawa wazee wamechoka kwelikweli makinda na uraisi wapi na wapi? bungene anatukandamiza mwatanzani, ndio urai. Ama kweli KIKWETE amefanya watu wasio na sifa nawao wanone wanafaa.
wampatie watakiona cha moto.hawatasahau hicho kichapo cha 2015.
 
Ninasikiliza vichwa vya habari magazeti ya LEO eti Mzee Mwandosya amempendekeza Anna Makinda kwa urais 2015.

----------------------


My Take:
Uraisi sasa imekuwa ni JOKE na inaonekana kila mtu anaweza kuwa rais wa Tanzania. Inaelekea nchi hii haina hata JOB DESCRIPTION YA URAIS

Ntamkumbuka huyu mama kwa mabaya yaliyolifikisha taifa hapa tulipo, kutokana na:
1:Kuingilia kazi za mhimili mwingine:Alisimama kidete kuruhusu sheria ya kuwaruhusu wakuu wa wilaya na mikoa kuingia kwenye kamati za nidhamu za mahaka,hata pale pinda alipoikataa,mama alimuuliza mara mbilimbili ili akubali.

2:Kupinga hoja binafsi za kambi ya upinzani hasa zile ambazo zilikua zinaanika uozo wa serikali,kwa kuhofia CDM kuimaliza CCM.

3:Kulifanya Bunge kuwa la CCM ,kuhakikisha yale ya CCM yanapita,na kuwafanya wabunge wa CCM wafanye kazi ya Uwaziri badala ya Ubunge.

4:Kuficha maovu yote ya serikali kupitia kuweka kwenye makabrasha,hoja zilizojibiwa k.m vile Richmond,waziri mkuu kusema uongo n.k

5:Ni mama aliyependelea wabunge wa CCM hata pale walipoharibu na kuwakweza huku akiwakandamiza wapinzani.

Kiufupi maovu yote yanayotokea leo Tanzania huyu mama anamkono wake.Hafai kuwa Rais.
 
Kila mtu anapewa chepuo ya uraisi, hii nisawa na enzi tunasoma mkifanya paper, umkiona wale wachovu wamefauru,kilamtu anakua nauhakika wa kufalu,ndo ilivyo kwa dhaifu, kwakua kua yeye kapewa uraisi sasa kila mtu anaona ananaweza, maana wanajua njisi, mjomba alivyo dhaifu.
 
Uwezo wa makinda kiuongozi ni mkubwa sana. Unaweza kulinganishwa viongozi kumi wa upinzani wakiunganishwa kwa pamoja, ie 1 makinda = 10 opposition men leaders tena wa huku bara.

haya ndio madhara ya uhuru wa maoni, uhuru wa maoni unatakiwa utumike vizuri kwa ajili ya afya na maslahi ya Taifa na sio mtu au kikundi cha watu fulani kwa maslahi yao
 
Huyu Mwandosya asije akawapotezea muda CCM 2015 atakapochukua fomu. Maana ameshakubali kuwa kuna mtu mwenye uwezo wa kazi hiyo kuliko yeye. Kitu ambacho hakuwahi kukubali kwa Kikwete!!


Kwa hiyo CCM karata yenu ni hiyo .................. mshindi number 3 kwenye kinyang'anyiro cha 2005 kishawapendekezea mtu wenu mwenye uwezo!!
 
mara zote Profesa akishaacha majukumu yake makuu, yaani kufanya tafiti, kufundisha na kutoa huduma za ushauri kwa jamii au hata nchi yake kwa ujumla, ndipo mawazo kama haya humjia pasipo yeye kupenda
 
Mkuu Makinda'hajioni anaweza'ila PROFESSOR ndiye kamuona anaweza!Nadhani hata humu ataungwa mkono sana na hasa wanawake kwa sababu kubwa moja tu.Prof amesema.Maana ndio watu wanaoaminiwa sana kuwa wana akili kuliko watu wengine!Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kumwamini msomi wa Tanzania kwa sababu kama hizi hizi, ambazo hujitokeza sana kwa 'wasomi wa Tanzania'!Utasikia mchumi drj la I wakati ni kumbe ni kichomi drj la kwanza

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
unanivunja mbavu bwana na wewe
 
Midume ya kitanzania mingne ishaanza kuwa na wivu kama mikaka poa vile,kila mtu anaruhusiwa kutoa maoni,na yale n maon yake sasa ww unaebisha cjui uelewek vip yan,mtu anadis hata uongoz wa darasa hajawah pata,mwenzake kaongoza bunge,miongn mwa viti 5 vya juu nchin huyo Mama kagusa,je utamlingansha na bibi ako alieishia olewa bla kanyaga shule?Amken bhana cDM vip nyie
 
Anaweza akaongoza kuiongoza Tz haihitaji elimu ya juu sana wala ufahamu mbona mda mwingi magogoni iko yenyewe tu mnashangaa nini sasa?
 
uwezo wa makinda kiuongozi ni mkubwa sana. Unaweza kulinganishwa viongozi kumi wa upinzani wakiunganishwa kwa pamoja, ie 1 makinda = 10 opposition men leaders tena wa huku bara.

poor on you! Ila mmweke tu ili cdm isipige hata kampen ili kuukwaa urais, makinda kuwa rais ni sawa na chiz kupewa kitengo cha afya.
 
Kuna mijadala kadhaa kwamba 2015 fursa sasa ni kwa mwanamke kuwa rais wa nchi hii je nani anafaaa
1.Prof. Anna tibaijuka
2.Dk. Asha rose migiro
3.Anna makinda
 
Wema sepetu mtoto waisaac atatufaa sana kuongoza hili taifa lenye aman na tulivu,. Nawasilisha
 
Back
Top Bottom