Domy
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 4,700
- 1,090
Hata sisi walimu tunateseka sana.
mnateseka vp? Mchawi wenu ni kukosa umoja miongoni mwenu!
Hata sisi walimu tunateseka sana.
Hapa nadhani kuna ajenda ya siri Elizabeth Dominic! Waandishi wa habari are NOT safe anymore!
hiyo ilikuwa danganya toto tu! We humjui Mr. Dhaifu!!!?CCM acheni kutegemea jeshi la polisi kuzima hoja za upinzani (J.Kikwete,nov 2012)
mnaijua risasi nyie au mnaongea kufuraishana tu ,,, huwa haichubui ile inaingia na kutoka embu aonyeshwe mgongoni kama imetoka maana hapo lazima itokeze mgongoni na asingekuwa na hali hiyo.mnafuraisha jukwaaa nyieee
Jk si ameshawakataza kuua!!!?!i? Au bado hajawapa official letter
mnaijua risasi nyie au mnaongea kufuraishana tu ,,, huwa haichubui ile inaingia na kutoka embu aonyeshwe mgongoni kama imetoka maana hapo lazima itokeze mgongoni na asingekuwa na hali hiyo.mnafuraisha jukwaaa nyieee
Unataka hicho kisa cha kutaka kumtoa roho mwandishi wa habari kielezewe vipi ili mfanye vyema karamu zenu kule Mabwepande?! Maana isingekuwa kujipindua, kama anavyodai yeye, risasi ingepiga chemba ya moyo. Nafikiri ungechekelea. Yana mwisho haya...Kuli.
Mkuu Tumaini Makene wewe ni mwandishi wa habari. Je hii thread (post ya kwanza) inajitosheleza? Hata post yako pia haijitoshelezi. Habari haina muunganiko
mnateseka vp? Mchawi wenu ni kukosa umoja miongoni mwenu!