Mwandishi APIGWA risasi na Polisi

Mwandishi APIGWA risasi na Polisi

Hakuna kisichoeleweka hapo, unless wewe ndo huelewi..... In short, nyumba ile ina mama J wawili, mmoja mke wa mwandishi (Mwandishi ni shaban na ndo aliyepigwa risasi) na wa pili ndo mtuhumiwa. Polisi waliingia chumba cha mwandishi badala ya mtuhumiwa ambaye hakuwepo home kwake. Wakati wanaondoka kwenda hospitali wakakutana na mtuhumiwa njiani lakini hawakuwa na time naye...

Mkuu Ngalikihija asante sana sana kwa kunisaidia kumwelewesha Mkuu EMT natumaini kadri alivyokuwa anahitaji. Sasa atakuwa ameelewa. Niliandika kama colour article. Pole EMT. Wakati nafikiria namna ya kuiweka sawa nimekuta mbele mkuu hapa kaiweka vyema.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
sasa hawa waandishi nao wawe na msimamo na wasiwe rahisi kusahau matukio... juzi tuu walitoa matamko kuhusu mwangosi matamko yenye mashiko sana..lakini sidhani kama waliyatekeleza leo wanagongewa wanagongwa risasi.... wawe makini sana ... Pole sana kwa mwaandishi
 
Ni nyie waandishi hawa hawa mlikuwa mnamsifu mkw.le kwa kuwapa uhuru sasa yanawatokea puani. Mlipewa kwa mkono mmoja sasa mwanyang'anywa kwa mkono mwingine.
Uoga wa nini? Hii ni sawa na ile ya mabwepande tu. Ombeni sana.

Haya mkubwa, sisi tutachukua tahadhari. Lakini utambue ukishaanza kuwindwa uhuru wa maoni, kwa mfano if it is true with this case na haa agents wake, tambua nobody is gonna be safe kaka. Haya matukio si kwa ajilinya watu fulani. Hitler alianza namna hiyo. Wapo walionyamaza wakisema wao si waandishi, si viongozi wa wafanyakazi, si wanasiasa...mara ikafikia zamu yao.
 
i hope sio directives za kibanda..jamaa haaminiki kwenye tasnia ya habari
 
Na kuwa na wasi wasi na hizo coz wanazoenda kusoma hawa porisi wetu TANZANIA tunaelekea wapi mbona kila kitu FAKE porisi fake,ARv fake,si jui nini yani yetu macho.
 
...Usishangae kesho ukisikia walikuwa wanapambana naye kwa masaa mawili kwa kuwa alikuwa na silaha hatari etc etc. Yote kwa yote no excuses charminglady.

yaan... wanateseka sana waandishi wa habari. Nahisi washaanza kuijutia taaluma yao....
 
Last edited by a moderator:
yeye hakuwa na silaha au alienda kufungua mlango kizembe..
 
Wewe vipi mie nimefanyaje? Mijitu mingine bana...hii habari aijaeleza vizuri kisa hicho.

Unataka hicho kisa cha kutaka kumtoa roho mwandishi wa habari kielezewe vipi ili mfanye vyema karamu zenu kule Mabwepande?! Maana isingekuwa kujipindua, kama anavyodai yeye, risasi ingepiga chemba ya moyo. Nafikiri ungechekelea. Yana mwisho haya...Kuli.
 
Hapa nadhani kuna ajenda ya siri Elizabeth Dominic! Waandishi wa habari are NOT safe anymore!
If journalists are Tanzanians, and journalists are not safe, then Tanzanians are not safe!.

Kama jukumu kuu la polisi ni kulinda raia na mali zao, lakini jukumu la polisi wetu badala ya kulinda rais wao ndio wauaji number one, tuki waorganise raia nao walipize kisasi kwa kuwaua polisi wauaji, jee huu utakuwa ni uchochezi?.

Kwani Tahrir squire ilianzaje?, kama ni kweli nguvu ya umma ni nguvu ya Mungu, kama wao waliweza, kwa nini sisi tushindwe?.

Pasco!.
 
yeye hakuwa na silaha au alienda kufungua mlango kizembe..

Aisee. So what are u trying to argue kaka. Serikali hii imeshawapatia askari hawa kibali cha kufanya watakavyo, unless mambo haya yasingekuwa yanafanyika bila watu kuwajibika au kuwajibishwa. Naikumbuka article ya Shivji, When the State arsons...
 
Kwani Tahrir squire ilianzaje?, kama ni kweli nguvu ya umma ni nguvu ya Mungu, kama wao waliweza, kwa nini sisi tushindwe?.Pasco!.
Kwa sababu ya watu kama Ritz!...wako wengi tu. CCM kama AIDS imewaathiri wengi...hasa wajinga wasio na uelewa wowote!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hawa wana akili kweli hata kama ni mwalifu ndio wampige risasi kwani aligoma kwenda kituoni?
 
Back
Top Bottom