Mwandishi APIGWA risasi na Polisi

Mwandishi APIGWA risasi na Polisi

Nachelea kusema hili tatizo liko CCP, sipati jibu kuwa askari anaamriwa na boss wake kuwa nenda kwa fulani ukikutana naye piga risasi. Mathalani angefungua mlango mtu tofauti bado wangetwanga au wangeingia kupekua?
Pole sana mwandishi!
 
Tupe habari zaidi mkuu!!!Hali ya mwandishi ikoje?

Hapa sasa nadhani dawa ni jeshi la polisi kupanguliwa na kupangwa upya na huyu igp aondolewe kabisa marejesho kwani ni dhahiri kazi imemshinda kabisa.
 
Last edited by a moderator:
CCM acheni kutegemea jeshi la polisi kuzima hoja za upinzani (J.Kikwete,nov 2012)
 
Get well soon! Ni taifa lenye police isiyojifunza kutokana na makosa. They got what they wanted sio suala la kukosea.
Aluta continua!
 
Tumaini Makene Ni nyie waandishi hawa hawa mlikuwa mnamsifu JK kwa kuwapa uhuru sasa yanawatokea puani. Mlipewa kwa mkono mmoja sasa mwanyang'anywa kwa mkono mwingine.
Uoga wa nini? Hii ni sawa na ile ya mabwepande tu. Ombeni sana.
 
Nimepatwa na woga sana. Sasa imebidi na mimi niisaidie nchi na wananchi kwa ujumla. Nimechukua hizi picha kesho nitazibandika ofisini kwangu kuwaonyesha wa Norwegian tunavyoonewa na kunyanyaswa na hii ccm tumechoka sasa tutafute msaada nje ili tuweze kusaidiwa kukombolewa kwa mkoloni mweusi. We are tired now!!!!!
 
pole mwandishi
tatizo lenu hamna ushirikiano mtapozwa na vibahasha na hili sakata mtalizika kimya kimya kama ilivokuwa kwa mwenzenu Daudi Mwangosi

nawashauri kwa hili suala lianikeni wazi jamii ijue uovu wa polisi na tumieni investigative journalist kubaini nani kawatuma.

hapa lazima Kenyela na timu yake waachie ngazi mkiwa serious hii haikubaliki, tuna polisi vilaza wanaochezea maisha yetu

mhalifu anawindwa kwa silaha kama sio mtu wa shari? mwandishi alikuwa na silaha? walishindwaje kumkamata bila shari?walikuwa na arrest warrant?

kwanini watumie nguvu kubwa?why why why? kenyela must go. Mwema must go.
 
hiv hata kama ni jambaz wanaruhusiwa kuua?kuua si hadi awashambulie,sasa mwandishi alianza kushambulia ama ndo ya Muro?
 
Nakumbuka kauli ya Mtikila "Polisi wetu kama mbwa wakiambiwa kamata wanakamata tu bila kujiuliza kwanini wanakamata!" Kisha naungana na wote wanao mpa pole mhanga na kumtakia kila la heri apone haraka.
 
siamini nasubiri polisi wenyewe watoe maelezo na kwa nini mwizi (mtuhumiwa tu) asiye na silaha apigwe risasi . Haiwezekani apigwe hivyo na polisi alipigwa na jambazi au mwizi subiri musikie. Kupigwa nyumbani kwake defenceless na kama ni polisi kweli ni kinyume cha sheria na mafunzo ya polisi - basi itakuwa hivyo kama ni amri ya mkuu maana huko nyuma tumesikia amri kama hizi zikitajwatajwa kuwapo.
 
Sad one. Kwani wakiingia kukamata mtu ndo wanafyatuaga marisasi tu?
 
Hawa jamaa naona wameamua kufanyia mazoezi ya kulenga shabaha kwenye miili ya raia!! Kuna ulazima gani kutumia silaha za moto kwa mtu ambaye umemkuta hana silaha yoyote? Mtu mwenyewe wanayemtafuta aitwa 'Mama Jay' afu wanaenda na mitutu? Hivi kweli polisi wetu ni waoga kiasi hiki?
 
Back
Top Bottom