EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,356
Tumaini Makene,
Post yako mbona haieleweki? Shaban ndiye nani? Aliyepigwa risasi?
Kama ndiye aliyepigwa risasi, una maana kuwa Mama Jay ndiye mkewe?
Kama Mama Jay ni mke wa Shaban (aliyepigwa risasi), polisi walikuwa wanamtafuta mke wa Shaban?
Kama walikuwa wanamtafuta mke wa Shaban, ina maana wanaishi vyumba tofauti?
Kama wanaishi vyumba tofauti, ilikuwaje Mama Jay aliwafungulia polisi mlango wa chumba alimokuwepo Shaban?
Kama aliwafungulia mlango polisi, ilikuwaje tena polisi wakapishana na Mama Jay akitokea kwenye kibanda?
Au kuna Mama Jay wawili waliopanga kwenye hiyo nyumba?
Kama kuna Mama Jay wawili waliopanga kwenye hiyo nyuma, can you put this clear in your post please?
Post yako mbona haieleweki? Shaban ndiye nani? Aliyepigwa risasi?
Kama ndiye aliyepigwa risasi, una maana kuwa Mama Jay ndiye mkewe?
Kama Mama Jay ni mke wa Shaban (aliyepigwa risasi), polisi walikuwa wanamtafuta mke wa Shaban?
Kama walikuwa wanamtafuta mke wa Shaban, ina maana wanaishi vyumba tofauti?
Kama wanaishi vyumba tofauti, ilikuwaje Mama Jay aliwafungulia polisi mlango wa chumba alimokuwepo Shaban?
Kama aliwafungulia mlango polisi, ilikuwaje tena polisi wakapishana na Mama Jay akitokea kwenye kibanda?
Au kuna Mama Jay wawili waliopanga kwenye hiyo nyumba?
Kama kuna Mama Jay wawili waliopanga kwenye hiyo nyuma, can you put this clear in your post please?