You're right man, watu tupo tofauti sana... wakati wewe unaona sms kwako ni muafaka kwangu sizitaki kabisa, naona zinanipotezea muda kwa kile ninachoamini, ninapoanza kuandika sms then everything else should be left aside mpaka umalize na kama sms zenyewe ndo hizi za akina Swtbby za mapenzi, sms moja inazaa nyingine na nyingine na wakati huo wote unaacha kila kitu kwa ajili ya kusoma na kuandika sms! For a very known economical reason, theoretically hakuna mwenye kupiga simu siku mzima but sms, aaaaargh... ukiwaendekeza hawa akina swtybby, basi bora mpigiane simu muongee mumalize muendelee na mambo mengine!Wrong
kuna watu hawapendi tu kupiga simu
wako hivyo....mimi mmojawapo...
i hardly call anyone.....sms zaidi....nikipiga simu ujue ni 'work related'
Last edited by a moderator: